Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,698
- 4,693
Private ni hovyo kuliko! Hawana staff ya maana. Private wanaweka gharama utadhani 4star hotel. Watu wanalipa hadi laki4 kwa siki! Upuuzi tu! Matibabu hovyo!Sijui ni wapi kuna ahueni kati ya hizo hospitali za serikali na binafsi. Maana unaenda hospitali binafsi tena kubwa ambayo inatoa huduma za aina fulani lakini inategemea wataalamu kutoka hospitali za serikali ambao nao unakuta wanahudumu hospitali zaidi ya moja. Mgonjwa inabidi apangiwe ratiba kutokana na ratiba ya daktari na sio hali yake. Daktari naye siku akifika anakutana na majukumu mengi hali inayofanya baadhi ya wagonjwa wasipate huduma kwa wakati. Pindi mgonjwa anapozidiwa anapelekwa tena hospitali za serikali. Pasipo umakini katika hii sekta tutashuhudia mengi sana.