Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,542
- 34,870
Dah!...hizi kazi za kuteuliwa zina changamoto sana maana muda wowote mteuaji anaweza kukuondoa akitaka.Nasikia huyo mama huwa anapokea matusi ya hatari kutoka kwa mzee Meko kwa simu mpaka basi. Yaani anapelekeshwa kama mkokoteni unaovutwa na punda.