Kwako Waziri Ummy Mwalimu kuhusu maambukizi ya COVID-19: Watanzania tunahitaji kupewa taarifa za kila siku (Daily Updates)

Nasikia huyo mama huwa anapokea matusi ya hatari kutoka kwa mzee Meko kwa simu mpaka basi. Yaani anapelekeshwa kama mkokoteni unaovutwa na punda.
Dah!...hizi kazi za kuteuliwa zina changamoto sana maana muda wowote mteuaji anaweza kukuondoa akitaka.
 
sijui kama Ummy Mwalimu huwaga anapitia huku JF.

seriously speaking, tunahitaji daily updates or else hii attitude yenu CCM itawa cost vibaya sana October.

wananchi wanasikia tu rais wao kajichimbia kijijini kwake ambapo walitegemea awe mstari wa mbele katika hii vita kama tunavyoona marais wa nchi nyingine wanavyofanya.

Tanzania hali ni mbaya sana kuliko watu wanavyosikia na kuona. hii siyo exaggeration - ni fact ambayo ipo supported na numbers.

ndani ya wiki 2 tu tumeshuhudia maambukizi nchini kwetu yakioengezeka exponentially (ongezeko la 916% au zaidi ya mara 10!!)

katika global perspective, Tanzania ni moja ya nchi zilizo na the worst recovery rate ya walioambukizwa - in fact, tunazidiwa na nchi zote zinazotuzunguka, hata DRC wametuzidi.

hapa chini ni COVID-19 recovery rate hadi kufikia asubuhi ya leo kwa nchi jirani na Tanzania:

Burundi 80%
Uganda 68%
Rwanda 54%
Zambia 54%
Kenya 24%
Mozambique 20%
Malawi 18%
DRC 10%
Tanzania 4%

hii trend ni ushahidi tosha kuwa serekali yetu haina mkakati wowote kwenye hii vita. inategemea zaidi bahati na neema ya Mungu. recovery kingekuwa ni kipimo kizuri cha uthabiti wa serekali katika ku deal na hii situation.

WE NEED DAILY UPDATES UMMY!!
 
Kichwa cha uzi kimejitosheleza.

Watanzania tunahitaji kujua kinachoendelea kuhusu hili janga. Source ya taarifa za jambo kama hili yapaswa iwe ni mamlaka husika, ambayo ni wizara inayoshughulikia masuala ya afya (hapa Tanzania wizara hii ina jina refu sana).

Upande wa pili wa muungano (Zanzibar) walau wao wanajitahidi kiasi chake. Huku Tanganyika bado sana.

Taarifa hizi ziwe zinatolewa na waziri mwenye dhamana kila siku kupitia tv stations zote kabla ya taarifa ya habari ya saa 2 usiku.

Taarifa hizi ziwe na data muhimu zifuatazo (at the minimum):

1. Tarehe ya vipimo
2. Idadi ya waliofanyiwa vipimo siku hiyo
3. Idadi ya maambukizi siku hiyo
4. Idadi ya vifo siku hiyo
5.B/down ya maambukizi kimkoa siku hiyo
6. Idadi cumulative kwa vipimo vyote
7. Idadi cumulative kwa maambukizi
8. Idadi cumulative kwa vifo
9. Idadi cumulative kwa waliopona

Hapo juu kwenye namba 2 hadi 5.... hata kama idadi yake ni "zero", itamkwe hivyo. Muhimu ni taarifa iwe public.

Ni katika kuboresha uwazi (transparency).
================================
update 21 April.... msisitizo.

sijui kama Ummy Mwalimu huwaga anapitia huku JF.

seriously speaking, tunahitaji daily updates or else hii attitude yenu CCM itawa cost vibaya sana October.

wananchi wanasikia tu rais wao kajichimbia kijijini kwake ambapo walitegemea awe mstari wa mbele katika hii vita kama tunavyoona marais wa nchi nyingine wanavyofanya.

Tanzania hali ni mbaya sana kuliko watu wanavyosikia na kuona. hii siyo exaggeration - ni fact ambayo ipo supported na numbers.

ndani ya wiki 2 tu tumeshuhudia maambukizi nchini kwetu yakioengezeka exponentially (ongezeko la 916% au zaidi ya mara 10!!)

katika global perspective, Tanzania ni moja ya nchi zilizo na the worst recovery rate ya walioambukizwa - in fact, tunazidiwa na nchi zote zinazotuzunguka, hata DRC wametuzidi.

hapa chini ni COVID-19 recovery rate hadi kufikia asubuhi ya leo kwa nchi jirani na Tanzania:

Burundi 80%
Uganda 68%
Rwanda 54%
Zambia 54%
Kenya 24%
Mozambique 20%
Malawi 18%
DRC 10%
Tanzania 4%

hii trend ni ushahidi tosha kuwa serekali yetu haina mkakati wowote kwenye hii vita. inategemea zaidi bahati na neema ya Mungu. recovery kingekuwa ni kipimo kizuri cha uthabiti wa serekali katika ku deal na hii situation.

WE NEED DAILY UPDATES UMMY!!
Pamoja na maombi lakini mwenendo na tabia zetu zikoje?
 
Back
Top Bottom