Siku moja Waziri wa Maliasili alienda kwa Bwana Nyuki, kufika akataka aingie aone mizinga ya nyuki bila kibali, akalazimisha kuingia akijinadi kuwa yeye ni Waziri kwani hajui hadi amwambie awe na kibali?
Dah kuingia kule ndani nyuki wakaanza kumuuma, akaomba msaada kwa Bwana Nyuki, akamjibu akamwambia Waambie wewe ni Waziri, kwani hawakujui?
Nikinunua bajaj yangu nitaiandika hii nukuu.😂Nyeti za kuku zinaonekana upepo ukivuma
Kwa hiyo akiwa kavaa ndio hawezi kuongea na kutoa taarifa kila siku?
Bwana Chikwuemeka jana ndugu zenu lukuki wamekuja kuwasalimia huko mliko,Uko sahihi mkuu,ukimya ukizidi Sana ni tatizo
it's over 3 days tangu update ya mwisho kutolewa.Kichwa cha uzi kimejitosheleza.
Watanzania tunahitaji kujua kinachoendelea kuhusu hili janga. Source ya taarifa za jambo kama hili yapaswa zitolewe na mamlaka husika, ambayo ni wizara inayoshughulikia masuala ya afya (hapa Tanzania wizara hii ina jina refu sana).
Upande wa pili wa muungano (Zanzibar) walau wao wanajitahidi kiasi chake. Huku Tanganyika bado sana.
Taarifa hizi ziwe zinatolewa na waziri mwenye dhamana kila siku kupitia tv stations zote kabla ya taarifa ya habari ya saa 2 usiku.
Taarifa hizi ziwe na data muhimu zifuatazo (at the minimum):
1. Tarehe ya vipimo
2. Idadi ya waliofanyiwa vipimo siku hiyo
3. Idadi ya maambukizi siku hiyo
4. Idadi ya vifo siku hiyo
5.B/down ya maambukizi kimkoa siku hiyo
6. Idadi cumulative kwa vipimo vyote
7. Idadi cumulative kwa maambukizi
8. Idadi cumulative kwa vifo
9. Idadi cumulative kwa waliopona
Hapo juu kwenye namba 2 hadi 5.... hata kama idadi yake ni "zero", itamkwe hivyo. Muhimu ni taarifa iwe public.
Ni katika kuboresha uwazi (transparency).
Naunga mkono hoja.
P
Siku moja Waziri wa Maliasili alienda kwa Bwana Nyuki, kufika akataka aingie aone mizinga ya nyuki bila kibali, akalazimisha kuingia akijinadi kuwa yeye ni Waziri kwani hajui hadi amwambie awe na kibali?
Dah kuingia kule ndani nyuki wakaanza kumuuma, akaomba msaada kwa Bwana Nyuki, akamjibu akamwambia Waambie wewe ni Waziri, kwani hawakujui?
Utasemaje raia ambaye huna hata passport mkuu,unabaki kujilinda tu na watu wako wa karibu kuhakikisha wako salama na kufuata maelekezo ya WHOBwana Chikwuemeka jana ndugu zenu lukuki wamekuja kuwasalimia huko mliko,
Kuzid hata idadi ya December !!!
Umewaona?
Unajambo gani kilingeni baada ya hili
Sijawahi Kumuona Waziri huyu kavaa barakoa. Ni hatari sana kwake na watu anaokutuna nao na Wasaidizi wake pia.
Jr