Kwako Waziri Kangi Lugola: Bangi inavutwa hadharani

official scandal

JF-Expert Member
Jan 7, 2016
386
794
Mheshimiwa Kangi Lugola, heshima yako kiongozi. Mimi ni mkazi wa Kigamboni eneo la vijibweni.

Nina jambo moja tu, tuna tatizo la wavuta bangi uwanja wa mpira unaojulikana kama uwanja wa kwa Mhindi.

Kila siku jioni vijana zaidi ya 60 hukutana hapo na kuvuta bangi pamoja na kuuza.

Tumeripoti kituo cha polisi Vijibweni lakini hakuna walichofanya. Mkichelewa wananchi wamepanga kuchukua hatua wenyewe maana tunaibiwa na tunavuta moshi wa bangi kila siku jioni.

Naomba ulifanyie kazi maana kituo cha polisi vijibweni kimeshindwa.
Bangi inatuathiri mheshimiwa.
Ngoja nilale maana kichwa kizito
 
Yaaan nimepigwa simu nlikuwa nagida bia hapo kwa jafary mwenyekiti nasikia kizunguzungu kuona huu uzi mnialike na mm nakuja pm tukutane mkuu
 
Mheshimiwa Kangi Lugola, heshima yako kiongozi. Mimi ni mkazi wa Kigamboni eneo la vijibweni
Nina jambo moja tu, tuna tatizo la wavuta bangi uwanja wa mpira unaojulikana kama uwanja wa kwa Mhindi. Kila siku jioni vijana zaidi ya 60 hukutana hapo na kuvuta bangi pamoja na kuuza. Tumeripoti kituo cha polisi Vijibweni lakini hakuna walichofanya. Mkichelewa wananchi wamepanga kuchukua hatua wenyewe maana tunaibiwa na tunavuta moshi wa bangi kila siku jioni.
Naomba ulifanyie kazi maana kituo cha polisi vijibweni kimeshindwa.
Bangi inatuathiri mheshimiwa.
Ngoja nilale maana kichwa kizito

Acha uchawi mtoto wa kiume...fanya yako...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mtu akivuta bangi kwa raha zake wewe unaumwa na nini? Kamateni wanaolima na kuuza, wacha sie wavutaji tuvute
 
Mheshimiwa Kangi Lugola, heshima yako kiongozi. Mimi ni mkazi wa Kigamboni eneo la vijibweni.

Nina jambo moja tu, tuna tatizo la wavuta bangi uwanja wa mpira unaojulikana kama uwanja wa kwa Mhindi.

Kila siku jioni vijana zaidi ya 60 hukutana hapo na kuvuta bangi pamoja na kuuza.

Tumeripoti kituo cha polisi Vijibweni lakini hakuna walichofanya. Mkichelewa wananchi wamepanga kuchukua hatua wenyewe maana tunaibiwa na tunavuta moshi wa bangi kila siku jioni.

Naomba ulifanyie kazi maana kituo cha polisi vijibweni kimeshindwa.
Bangi inatuathiri mheshimiwa.
Ngoja nilale maana kichwa kizito
Kwa hiyo kichwa kizito kwa ajili ya bange?

Una habari na wewe tukikupima unaweza fungwa kwa uvutaji mabange?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waacheni watu watoe stares zao
FB_IMG_15474641304965368.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kusubiri barua ofisini raia wachukue hatua wenyewe maana huu mtaa wanaishi wastaafu wa jwtz.
Usiseme sikukwambia
[ QUOTE="Rk10, post: 30571133, member: 283075"]Limefika ntalifanyia Kazi ingawa hujaandika barua ofisini Kwangu kijana.

Maendeleo hayana chama.

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom