Kwako sikukuu ilikuwaje?

mjukuum

JF-Expert Member
Dec 8, 2014
5,257
2,826
Wakuu,

Tujuzane sikukuu ilivyokuwa,

Mimi nimesali Mbagala KKKT ibada zilikuwa tatu zilijaa sana mbili za mwanzo.

Nimefurahi kuona watu wakiwa wengi kwenye sikukuu hii.

Barabrani magari ni machache hakukuwa na foreni sana.

Nimepita kwa bro nimekula nyama ya mbuzi now naenda zangu kulala.
 
Tangu asubuhi mpaka sasa nimeshatumia 42,400 hiyo January sijui itakuaje kwa ufujaji huu wa pesa. Hata hivyo ilikua bomba
 
Ndo namrudisha Mwanangu nyumbani akalale kisha mi nirudi kupiga vyombo. Nitacomment nikishatoka huko baadae.
 
Nimechoma wese la 50,000/= kwenda kula mzigo wa kigogo makao makuu na nimepuliza nyingine 150,000/= saiv nimebaki na vitu viwil tu vimening'inia na mawazo yameanza kujaa kichwan maana nimebain hivi vitu ni vile vile tu iwe cha mgogo au mchagga
 
Ndo namrudisha Mwanangu nyumbani akalale kisha mi nirudi kupiga vyombo. Nitacomment nikishatoka huko baadae.
Wewe toka. Jirani nae ameshajua unatoka kwenda kulewa nae anajiandaa kwenda kumburudisha mama wa Huyo mtoto uliyemrudisha. Kufa kufaana.
 
Nimechoma wese la 50,000/= kwenda kula mzigo wa kigogo makao makuu na nimepuliza nyingine 150,000/= saiv nimebaki na vitu viwil tu vimening'inia na mawazo yameanza kujaa kichwan maana nimebain hivi vitu ni vile vile tu iwe cha mgogo au mchagga
Siku ukipata kitu cha mmakonde utabadili usemi.
 
Shukrani zimuendee Mwigulu nchemba naona vijana wake,(polisi)hawanywi pombe kazini kama tulivyozoea wanalinda raia na mali zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom