Kwako Prof JANABI.
Heshima yako na hongera sana kwakuitendea haki taaluma yako vyema.
Tarehe 12/6/2021 umewasilisha international report kwa Mh Rais.
Ulijipanga vizuri mno.
Ulitulia sana, Body language inamvuta msikilizaji tangu ulivyopresent kabla ya uzinduzi na hatimaye hotuba yako nje. Prof JANABI nilikuwa nafuatilia kupitia runinga huku Mkoani, BIG UP.
Tulikuwa na Maprofesa wazuri pale Mlimani tangu wameingizwa kule MJENGONI wamekuwa waongo hadi wanafutwa uprofesa na akina msukuma.
Katiba inakanyagwa, Maprofesa wa sheria wanapiga makofi. Asante prof janabi na team yako kwa mpangilio wa presentation
Heshima yako na hongera sana kwakuitendea haki taaluma yako vyema.
Tarehe 12/6/2021 umewasilisha international report kwa Mh Rais.
Ulijipanga vizuri mno.
Ulitulia sana, Body language inamvuta msikilizaji tangu ulivyopresent kabla ya uzinduzi na hatimaye hotuba yako nje. Prof JANABI nilikuwa nafuatilia kupitia runinga huku Mkoani, BIG UP.
Tulikuwa na Maprofesa wazuri pale Mlimani tangu wameingizwa kule MJENGONI wamekuwa waongo hadi wanafutwa uprofesa na akina msukuma.
Katiba inakanyagwa, Maprofesa wa sheria wanapiga makofi. Asante prof janabi na team yako kwa mpangilio wa presentation