Kwako Ndg. Pasco: Maandamano Yamefanyika Bila Idhini ya Katibu wa Chama!

A good thing done out of evil motives becomes evil. Wanasiasa wengi wa CCM wanafanya vitu vinavyoonekana vizuri at a face value lakini kinachowasukuma si upendo wa dhati wa kumkomboa mwananchi. Kama Mungu angetusaidia kujua motives za watu, wengi sana ya kutonawaheshimu kwa kudhani wanatetea masilahi yetu tungewapiga kwa mawe.
 
Itategemeana na uamuzi nitakaochukua muda huo ukifika. kwamba nigombee tena ama la? Mimi nina fani ya kazi, nina nguvu na ujuzi wa kutosha, pia nina shughuli nyingi na halali za kunipatia kipato changu cha riziki ya kila siku. sitegemei siasa pekee kama ajira yangu, nikionekana sifai basi nitapumzika, hata hivyo wenye uamuzi wa mwisho ni wananchi wenyewe na wala siyo mtu mwenye lengo la kulipiza kisasi. hivyo kama nitaamua kugombea nitawaomba ridhaa wananchi wenzangu wa Nzega, wakisema natosha nitagombea wakisema hapana umechemsha na haujafanya kitu nitaacha! Huwezi kufanya kazi huku ukihofia kufukuzwa chama, ama kuacha kuteuliwa na chama uchaguzi ujao --- sasa utaishije? Zaidi ya hapo una ahadi gani na Mungu kwamba utafika hiyo 2015? Ishi kama vile utakufa leo na utakuwa huru
Kwanza nikupe hongera kwa ujasili unaoonyesha katika hali hii tete ya chama chako cha CCM!!! Mhe naona kuwa kuitosa CCM kwako wewe ni vigumu kwani unalo deni la Tshs 2,000,000,000/= Billion Mbili kutoka CRDB kwa msaada wa mama wa kaya, sijui uliziweka kwenye NGO yako ( maana kwa taarifa za Bashe ambayo hukukanusha) au umemaliza kulipa???? Mzee hiyo ni kamba lazima uendelee kutumika pamoja na elimu yako,bila hiari yako pole!!!!
 
Ngoja katibu wako wa Uchochezi na Uenezi wa majungu Bwana Nnauye Jr aje akushukie na pumba zake ndio utamjua kuwa anatumia Masaburi au kichwa, kama hawajakushughulikia. Je vipi yule Mzee wa Intelejensia alikuwa ameenda likizo?au alimzibiti yule Kijana wa Al Shabab?.

Anyway Hongera Mr. HKigwangalla kwa kufanya Maandamano ya kumkomboa Mlalahoi, ila sijafurahishwa na wakubwa zako Mafisadi wa Magogoni kuingia Mikataba ya kipumbavu katika hiyo migodi na kutuingiza sisi Walalahoi kwenye matatizo kama hayo mnayoandamana
 
yule jamaa huwa sioni chochote anachokifanya pale nzega, hivi nikikuuliza umewafanyia nini wana nzega hadi leo utasema nini? mimi hata leo hii niko hapa nzega.......umefanya nini unachoweza kujivunia hadi sasa hapa nzega?....nakushauri anza mapema kujiandaa kukosa kura 2015 kama utajaribu kugombea....kama utakuwa na busara, usigombee kabisa ili kuepuka aibu.
 
Kwanza nikupe hongera kwa ujasili unaoonyesha katika hali hii tete ya chama chako cha CCM!!! Mhe naona kuwa kuitosa CCM kwako wewe ni vigumu kwani unalo deni la Tshs 2,000,000,000/= Billion Mbili kutoka CRDB kwa msaada wa mama wa kaya, sijui uliziweka kwenye NGO yako ( maana kwa taarifa za Bashe ambayo hukukanusha) au umemaliza kulipa???? Mzee hiyo ni kamba lazima uendelee kutumika pamoja na elimu yako,bila hiari yako pole!!!!
sina pesa zote hizo. ningekuwa nazo nisingekuwa nahangaika na maisha kiasi hiki. mwambie aache siasa za kitoto hizo, tumeishakuwa. asubiri wakati ukifika aje agombee tu. sijawahi pewa msaada wowote ule wa kipesa na mke wa Mhe. Rais, acheni kumchafua namna hiyo kwa kumsingizia mambo yasiyokuwepo, kama mna shida ya kupambana na mimi kisiasa, njooni tupambane tu, msiniogope na wala siyo kumuingiza yule mama, kwanza hata si mwanasiasa!
 
Ongera dr. Hivi ulifuata nin ccm? Ulibidi huwe cdm wewe. Taifa kwanza, chama baadae. Ila angalia nape anakuona, usije wakakufanyia kama seleli. Kaza buki dr. Kijana, pamaoja sana!
 
Itategemeana na uamuzi nitakaochukua muda huo ukifika. kwamba nigombee tena ama la? Mimi nina fani ya kazi, nina nguvu na ujuzi wa kutosha, pia nina shughuli nyingi na halali za kunipatia kipato changu cha riziki ya kila siku. sitegemei siasa pekee kama ajira yangu, nikionekana sifai basi nitapumzika, hata hivyo wenye uamuzi wa mwisho ni wananchi wenyewe na wala siyo mtu mwenye lengo la kulipiza kisasi. hivyo kama nitaamua kugombea nitawaomba ridhaa wananchi wenzangu wa Nzega, wakisema natosha nitagombea wakisema hapana umechemsha na haujafanya kitu nitaacha! Huwezi kufanya kazi huku ukihofia kufukuzwa chama, ama kuacha kuteuliwa na chama uchaguzi ujao --- sasa utaishije? Zaidi ya hapo una ahadi gani na Mungu kwamba utafika hiyo 2015? Ishi kama vile utakufa leo na utakuwa huru
afadhali umeweka options wazi.... maana wenzako wengi wa CCM hawako hivyo na hiyo inatokana na ukosefu wa maarifa na stadi za maisha zaidi ya kudanganya wanyonge kwa ahadi wazojua kuwa ni uongo na ulaghai
 
yule jamaa huwa sioni chochote anachokifanya pale nzega, hivi nikikuuliza umewafanyia nini wana nzega hadi leo utasema nini? mimi hata leo hii niko hapa nzega.......umefanya nini unachoweza kujivunia hadi sasa hapa nzega?....nakushauri anza mapema kujiandaa kukosa kura 2015 kama utajaribu kugombea....kama utakuwa na busara, usigombee kabisa ili kuepuka aibu.
mwezi huu umeme unawaka Ndala. wiki mbili zilizopita shule ya high school ya kwanza Nzega imeanza kujengwa ndala, na ile ya pili ya Puge inaanza kukamilishwa muda wowote kuanzia sasa. nimeshaiwshi tumetenga bajeti ya kuweka km20 za lami mjini Nzega, kununua mitambo ya kuchimba visima vya maji Nzega, nimehamasisha kilimo cha pamba na alizeti Nzega na watu wanapata pesa kutokana na shughuli hizi, nimeanzisha SACCOS 12 mpaka sasa na zote ninazirasimisha na kuzipa mtaji (nipo katika mchakato wa kuzijengea jengo la ofisi na kuziunganisha katika union ya ushirika mpya Nzega, nimeshiriki kutunga sheria mbalimbali, kutoa ushauri mbalimbali wa busara bungeni, kwenye RCC na barazani Nzega, ninasomesha watoto zaidi ya 450 kwenye shule za sekondari na vyuo, nk nk nk soma zaidi website yangu na utaona www.hamisikigwangalla.com na utajua nafanya nini na ama nimefikia wapi na ninaelekea wapi katika kutekeleza majukumu yangu.

kaka nikiamua kuacha kugombea ama nikigombea wakaninyima kura yatakuwa ni matokeo tu, lakini si kwa sababu eti sifanyi kazi...

nakuhakikishia ikifika 2015 nitakuwa mbunge pekee aliyewahi kufanya mambo mengi, makubwa na ya muhimu katika jimbo lake kuliko wabunge wengi ninaowaona humu Bungeni
 
sina pesa zote hizo. ningekuwa nazo nisingekuwa nahangaika na maisha kiasi hiki. mwambie aache siasa za kitoto hizo, tumeishakuwa. asubiri wakati ukifika aje agombee tu. sijawahi pewa msaada wowote ule wa kipesa na mke wa Mhe. Rais, acheni kumchafua namna hiyo kwa kumsingizia mambo yasiyokuwepo, kama mna shida ya kupambana na mimi kisiasa, njooni tupambane tu, msiniogope na wala siyo kumuingiza yule mama, kwanza hata si mwanasiasa!

hiyo sentesi ya mwisho mkuu umejichanganya yula mama ni mwasiasa mzuri tu kumbuka mwaka juzui alizunguka nchi nzima kumpigia kampeni mkulu.!
 
Itategemeana na uamuzi nitakaochukua muda huo ukifika. kwamba nigombee tena ama la? Mimi nina fani ya kazi, nina nguvu na ujuzi wa kutosha, pia nina shughuli nyingi na halali za kunipatia kipato changu cha riziki ya kila siku. sitegemei siasa pekee kama ajira yangu, nikionekana sifai basi nitapumzika, hata hivyo wenye uamuzi wa mwisho ni wananchi wenyewe na wala siyo mtu mwenye lengo la kulipiza kisasi. hivyo kama nitaamua kugombea nitawaomba ridhaa wananchi wenzangu wa Nzega, wakisema natosha nitagombea wakisema hapana umechemsha na haujafanya kitu nitaacha! Huwezi kufanya kazi huku ukihofia kufukuzwa chama, ama kuacha kuteuliwa na chama uchaguzi ujao --- sasa utaishije? Zaidi ya hapo una ahadi gani na Mungu kwamba utafika hiyo 2015? Ishi kama vile utakufa leo na utakuwa huru

wananchi wako wakikuambia kua wako tayari kukupa kura lakini hawaitaki ccm kwa hiyo uhamie chadema..utakua tayari kwa hilo au ni bora usiwe mbunge lakini ubakie ccm?
 
mwezi huu umeme unawaka Ndala. wiki mbili zilizopita shule ya high school ya kwanza Nzega imeanza kujengwa ndala, na ile ya pili ya Puge inaanza kukamilishwa muda wowote kuanzia sasa. nimeshaiwshi tumetenga bajeti ya kuweka km20 za lami mjini Nzega, kununua mitambo ya kuchimba visima vya maji Nzega, nimehamasisha kilimo cha pamba na alizeti Nzega na watu wanapata pesa kutokana na shughuli hizi, nimeanzisha SACCOS 12 mpaka sasa na zote ninazirasimisha na kuzipa mtaji (nipo katika mchakato wa kuzijengea jengo la ofisi na kuziunganisha katika union ya ushirika mpya Nzega, nimeshiriki kutunga sheria mbalimbali, kutoa ushauri mbalimbali wa busara bungeni, kwenye RCC na barazani Nzega, ninasomesha watoto zaidi ya 450 kwenye shule za sekondari na vyuo, nk nk nk soma zaidi website yangu na utaona www.hamisikigwangalla.com na utajua nafanya nini na ama nimefikia wapi na ninaelekea wapi katika kutekeleza majukumu yangu.

kaka nikiamua kuacha kugombea ama nikigombea wakaninyima kura yatakuwa ni matokeo tu, lakini si kwa sababu eti sifanyi kazi...

nakuhakikishia ikifika 2015 nitakuwa mbunge pekee aliyewahi kufanya mambo mengi, makubwa na ya muhimu katika jimbo lake kuliko wabunge wengi ninaowaona humu Bungeni
nitayafuatilia haya unayoyasema, nakupongeza; lakini barabara za vumbi pale nzega zinachafua kweli magari yetu, standi chafuuu pamoja na kwamba najua hili laweza kuwa si jukumu lako ni jukumu la halmashauri sijui, barabara ya nzega kahama ila ya kukatisha kati ni vumbi ajabu hadi inatufanya tuzungukie Tinde....nakupa hongera kama umesomesha watoto wote hao....kazi njema.
 
sina pesa zote hizo. ningekuwa nazo nisingekuwa nahangaika na maisha kiasi hiki. mwambie aache siasa za kitoto hizo, tumeishakuwa. asubiri wakati ukifika aje agombee tu. sijawahi pewa msaada wowote ule wa kipesa na mke wa Mhe. Rais, acheni kumchafua namna hiyo kwa kumsingizia mambo yasiyokuwepo, kama mna shida ya kupambana na mimi kisiasa, njooni tupambane tu, msiniogope na wala siyo kumuingiza yule mama, kwanza hata si mwanasiasa!

Kwa hiyo kinachokuhangaisha ni mapeni siyo,na ukipata chance hufanyi makosa
au nimekuelewa tofauti Mheshimiwa sana.

Kuna wakati nakukubali lakini mara nyingi naona kama ni mchumia tumbo na wewe.Prove me wrong Dr Politica.
 
Ongera dr. Hivi ulifuata nin ccm? Ulibidi huwe cdm wewe. Taifa kwanza, chama baadae. Ila angalia nape anakuona, usije wakakufanyia kama seleli. Kaza buki dr. Kijana, pamaoja sana!
Hata mimi nimekuwa najiuliza hilo. Nafahamu kuwa ni ngumu sana kupigania wananchi ukiwa CCM, hata hivyo kuna wakati inabidi uende na mazingira yanayokuzunguka. Nafikiri ndicho alichofanya Dr Kigwa.
 
sina pesa zote hizo. ningekuwa nazo nisingekuwa nahangaika na maisha kiasi hiki. mwambie aache siasa za kitoto hizo, tumeishakuwa. asubiri wakati ukifika aje agombee tu. sijawahi pewa msaada wowote ule wa kipesa na mke wa Mhe. Rais, acheni kumchafua namna hiyo kwa kumsingizia mambo yasiyokuwepo, kama mna shida ya kupambana na mimi kisiasa, njooni tupambane tu, msiniogope na wala siyo kumuingiza yule mama, kwanza hata si mwanasiasa!
Nashukuru Mhe UMEELEWEKA umekuwa mmuwazi, kama kuna lolote la ziada litaletwa hapa!!! Jitihada zako za kuwakomboa wana Isungangwanda ni stahiki, kama umeona uonezi na unyanyasaji wa serikali ya Maghamba wewe ni mwanasiasa mkomavu!!! Waimbaji waliimba kuwa vijiko haviogopi moto, piga tu jalamba la 2015!! Good move !!!!

 
Back
Top Bottom