cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,324
Humu JF watu hudaganya Sana wenzao, na kujimwambafai na kutukana single mother kumbe ndio wamewaoa, na hawana SAUTi, so hasira zinaishia kushambulia humu jukwaani kupoza machunguSasa mbona umu watu wana sisitiza tusioe wanawake walio zalishwa kwakuwa wana tabia ya kuanzisha mahusiano tena na walio wazalisha kwa siri?