JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,360
- 9,615
Mkuu wa Mkoa wa Dar pamoja na Mambosasa.
Hii hari ninayo isikia na kuona mtaani na kila ninapotembelea vituoa vya polisi sio nzuri. Usalama wa raia na mali zoa haupo tena.
Watu wanavamiwa mchana, usiku, asubuhi na jioni.
Mko wapi?
Mfano: Staki shari kuna kesi kibao za watu kuibiwa. Kule kigamboni, hapo ubungo. Kindononi, hadi maeneo ya pembezoni kama Makabe, msakuzi, msumi, madale kisenvule, Goba,, n.k. Kote ni hatari.
Au hadi mama afoke?
Wizi unaofanywa:
1. Vipuli vya magari na magari.
2. Wizi wa TV.
3. Wizi wa pesa na simu.
4. N.k.
Wasaidieni wananchi.
Hii hari ninayo isikia na kuona mtaani na kila ninapotembelea vituoa vya polisi sio nzuri. Usalama wa raia na mali zoa haupo tena.
Watu wanavamiwa mchana, usiku, asubuhi na jioni.
Mko wapi?
Mfano: Staki shari kuna kesi kibao za watu kuibiwa. Kule kigamboni, hapo ubungo. Kindononi, hadi maeneo ya pembezoni kama Makabe, msakuzi, msumi, madale kisenvule, Goba,, n.k. Kote ni hatari.
Au hadi mama afoke?
Wizi unaofanywa:
1. Vipuli vya magari na magari.
2. Wizi wa TV.
3. Wizi wa pesa na simu.
4. N.k.
Wasaidieni wananchi.
Kuna wizi wa vifaa vya magari maeneo ya Goba, Mbezi na Temeke
Habari wana JF Kuna wizi mpya wa vifaa vya magari naona umekithiri sana huko maeneo ya Goba, Mbezi, Temeke watu wanaibiwa sana vifaa naomba Ma RC , POLISI N.K walishugulikie hili swala wezi wanajulikana n wanaonunua hivo vifaa vya wizi wanajulikanaa...
www.jamiiforums.com