wakatanta
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 2,593
- 3,148
Ndugu Kunenge una miaka miwili tu ya utumishi kama RAS, si muda mwingi wala mchache kivile katika kusoma mazingira ya game.
Jiji hili limejaa kila aina ya fitina, uzushi, uongo, umbea, dhulma, utapeli, wizi, ujambazi, uliokwenda shule haswa.
Wapo watakao kwambia wewe ni bora sana wakitaka kukuweka sawa, chunga maneno na ndimi zao, nafikiri unajua Rais Magufuli nini anapenda na kipi hapendi.
Rais Magufuli hupenda mtu anayekwenda na mdundo wake kwa kasi ya ajabu, ukionyesha ubunifu wa hali ya juu katika kutimiza majukumu yako.
Sasa ole wako usahau wosia, hutachukua round nikwambie na utakuwa mkuu wa mkoa aliekaa ofisini kwa muda mfupi sana, ujue uko kwenye darubini kali sana.
Ukiituliza daresalaam ujue umeituliza Tanzania,na utakuwa umelinda uchumi wa nchi, kwani asilimia karibu 80 ya mapato ya nchi yanategemewa na hili jiji, kuruhusu vurugu ni kugusa mboni ya jicho ya Rais Magufuli, imani yangu hilo unalijua.rejea covid 19, speech ya mzee Baba kuhusu lockdown ,alikataa kulock jiji.
Tegemea kujalibiwa na maandamano yasio ya msingi, toka kwa wapima kina cha maji mbalimbali wakiwemo wanasiasa, halafu ulegee.
Ukiharibikiwa ni wewe peke yako,sio ooh Magufuli ni rafiki kipenzi wa baba yangu, hilo halipo, utapimwa kwa kazi na matarajio ya Rais Magufuli.
Nimeona nikupe msisitizo ili ujue unakibarua kizito sana mbeleni.
Jiji hili limejaa kila aina ya fitina, uzushi, uongo, umbea, dhulma, utapeli, wizi, ujambazi, uliokwenda shule haswa.
Wapo watakao kwambia wewe ni bora sana wakitaka kukuweka sawa, chunga maneno na ndimi zao, nafikiri unajua Rais Magufuli nini anapenda na kipi hapendi.
Rais Magufuli hupenda mtu anayekwenda na mdundo wake kwa kasi ya ajabu, ukionyesha ubunifu wa hali ya juu katika kutimiza majukumu yako.
Sasa ole wako usahau wosia, hutachukua round nikwambie na utakuwa mkuu wa mkoa aliekaa ofisini kwa muda mfupi sana, ujue uko kwenye darubini kali sana.
Ukiituliza daresalaam ujue umeituliza Tanzania,na utakuwa umelinda uchumi wa nchi, kwani asilimia karibu 80 ya mapato ya nchi yanategemewa na hili jiji, kuruhusu vurugu ni kugusa mboni ya jicho ya Rais Magufuli, imani yangu hilo unalijua.rejea covid 19, speech ya mzee Baba kuhusu lockdown ,alikataa kulock jiji.
Tegemea kujalibiwa na maandamano yasio ya msingi, toka kwa wapima kina cha maji mbalimbali wakiwemo wanasiasa, halafu ulegee.
Ukiharibikiwa ni wewe peke yako,sio ooh Magufuli ni rafiki kipenzi wa baba yangu, hilo halipo, utapimwa kwa kazi na matarajio ya Rais Magufuli.
Nimeona nikupe msisitizo ili ujue unakibarua kizito sana mbeleni.