Mkuu pole na kazi,
Kwa masikitiko napenda kukujuza kuwa vitendo anavyofanya huyu kiongozi wa PCCB mkoa wa Kagera haviachi chembe yoyote kuhusu rushwa.
Kiongozi huyu amekuwa akishirikiana na watu tunao wajua tabia zao za kudhurumu watu mali zao na kisha kukimbilia kwa kiongozi huyu wa pccb ili kujificha huko.
Mmoja wapo wa watu anaoshirikiana nao ni mtu anayeitwa NELSON maarufu Mandela fundi mgari aliyewahi kufanya kazi ELCT Garage. Ni mwenyeji wa kati ya kata ya kibeta au kitendaguro manispaa ya bukoba.
Jamaa huyu anaumiza watu sana na kuwaonea sana na kisha kukimbilia kwa mkuu huyu wa pccb. Mkuu huyu wa pccb anamiliki majumba na magari maeneo ya kolping mjini bukoba na nyumba hizo ni mali ya mkuu huyu wa pccb ambaye tunamfahamu sura ila jina hatulijui na anavaa miwani, anapenda kutumia gari aina ya noah.
Mhe. mkurugenzi naomba huyu jamaa ahojiwe na tutakuwekea hapa hapa ushahidi wa matendo yake na Zaidi tutakutumia kwenye email yako ya taasisi.
asante
Kwa masikitiko napenda kukujuza kuwa vitendo anavyofanya huyu kiongozi wa PCCB mkoa wa Kagera haviachi chembe yoyote kuhusu rushwa.
Kiongozi huyu amekuwa akishirikiana na watu tunao wajua tabia zao za kudhurumu watu mali zao na kisha kukimbilia kwa kiongozi huyu wa pccb ili kujificha huko.
Mmoja wapo wa watu anaoshirikiana nao ni mtu anayeitwa NELSON maarufu Mandela fundi mgari aliyewahi kufanya kazi ELCT Garage. Ni mwenyeji wa kati ya kata ya kibeta au kitendaguro manispaa ya bukoba.
Jamaa huyu anaumiza watu sana na kuwaonea sana na kisha kukimbilia kwa mkuu huyu wa pccb. Mkuu huyu wa pccb anamiliki majumba na magari maeneo ya kolping mjini bukoba na nyumba hizo ni mali ya mkuu huyu wa pccb ambaye tunamfahamu sura ila jina hatulijui na anavaa miwani, anapenda kutumia gari aina ya noah.
Mhe. mkurugenzi naomba huyu jamaa ahojiwe na tutakuwekea hapa hapa ushahidi wa matendo yake na Zaidi tutakutumia kwenye email yako ya taasisi.
asante