Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Nikiwa mkaazi wa jiji la Arusha napenda kumkumbusha mbunge wa Arusha haya yafuatayo.
1. KUKITHIRI KWA UMALAYA (MADADA POA).
Mitaa ya Kaloleni ikijumuisha sehemu za Mrina, casa, picnic na maeneo yaliyozunguka hizo sehemu ni aibu sana hata kupita na mtu unayemheshimu.
Wadada wanajiuza mchana, asubuhi na usiku bila aibu yoyote.
Wakiwa wamevaa nusu uchi kila anayepita wanamuita na kumkonyeza akaribie kwenye biashara zao.
2. UTUMIAJI UGORO KWA VIJANA UNYWAJI POMBE.
Huu mtaa ndiyo panaongoza kwa hivyo vilevi na imepelekea kupteza hata uwezo wa vijana wa kufanya kazi za kujitafutia kipato.
Mbunge wa jiji letu kumbuka wewe ni mwakilishi wa wananchi wa hili jiji.
Ebu tafuta muda ufuatilie haya majanga ingawa naelewa kuwa unayajua.
Nikutakie kazi njema zako za kibunge.
1. KUKITHIRI KWA UMALAYA (MADADA POA).
Mitaa ya Kaloleni ikijumuisha sehemu za Mrina, casa, picnic na maeneo yaliyozunguka hizo sehemu ni aibu sana hata kupita na mtu unayemheshimu.
Wadada wanajiuza mchana, asubuhi na usiku bila aibu yoyote.
Wakiwa wamevaa nusu uchi kila anayepita wanamuita na kumkonyeza akaribie kwenye biashara zao.
2. UTUMIAJI UGORO KWA VIJANA UNYWAJI POMBE.
Huu mtaa ndiyo panaongoza kwa hivyo vilevi na imepelekea kupteza hata uwezo wa vijana wa kufanya kazi za kujitafutia kipato.
Mbunge wa jiji letu kumbuka wewe ni mwakilishi wa wananchi wa hili jiji.
Ebu tafuta muda ufuatilie haya majanga ingawa naelewa kuwa unayajua.
Nikutakie kazi njema zako za kibunge.