Kwako kijana uliyemaliza Chuo au unatarajia kumaliza Chuo

Umomi

JF-Expert Member
Mar 31, 2020
677
983
Leo naomba niseme kitu kwa machungu sana. Hakuna kitu ambacho sipendi maishani mwangu Kama kuumba msaada kwa mwanadamu mwenzangu hasa msaada wa kifedha. Wanadamu bana siyo watu ambao naweze kuweelezea shida zangu labda nieleze huku jf ambako hakuna anaye nifahamu

Jamani tunajua saivi ajira ni ngumu sana tena sana. Siku hizi ata sisi tuliosoma course Kama za Education bado tunaenda kutembea na bahasha kutafuta ajira Ni kitu ambacho kinaumiza sana but tutafanyeje? Maisha yamekuwa magumu sana kwetu sisi wasomi tunashindwa tufanyeje.

Wengi tulikwenda chuo tukiwa na lengo la kusave boom ili baada ya kumaliza chuo tupate pa kuanzia ila mambo yalikwenda mrama na tunaelekea kumaliza bila hata nauli ya kuturudisha tulikotoka huku tukiwa na theory za kutosha kichwani

Nadhani wengi wetu tulishuhudia hali halisi kipindi cha CORONA kweli tulichakalika sana hasa sisi ambao hatutaki kakaa bila kazi. Ila cha kushangaza mtu anakwambia wewe na hii kazi mbona huendani nayo kabsaa hasa sisi tuliopewa mili ya kuonekana Kama tuna pesa sana.

Japo nimechanganya habari lakini naomba kuhitimisha kwa kuomba wasomi wenzangu tupige kazi yeyote hata Kama Ni kuzibua vyoo lakini tukiwa na lengo. Tufanye huku tukinunua vitu ambavyo badaye tutaviuza na kupata mtaji mkubwa ili tuondokane na fedheha za wanadamu ambao hawakupata bahati ya kwenda shule. Kweli huwa nachukia mtu kunidharau kisa nimesoma afu sijafanikiwa.

Kweli kuna kipindi nilipigika mpaka nikatamani nife make mpaka kuna ndugu yangu anayo pesa lakini nikimuomba ata anikopeshe ata 20000 tu nifanye mtaji wa kuuza ata nyanya ananinyima. But niliposema Sasa nimeamua kupambana kweli alimtuma mtu akaniletea 100k. Niseme tu ukweli nilienda siku hiyo hiyo nikanunua materials ya kujenga banda la kufugia kuku. Ili pesa nilikuwa naipata niweze kuzungusha vzr.

Nilichojifunza ni kuwa tusipende kuongea sana but tufanye action sana. Kuna vijana wengi tupo mtaani bila kazi but nashauri tuchape kasi hasa zile kazi ambazo zinatupa muda wa kujitawala. Tusipende kuomba mpaka vocha jmn. Unakuta kijana kamaliza chuo kikuu na hana uwezo wa kununua hata bando la 1500 kwa wiki inauma sana.

Mungu akutangulie ila Mimi tayari nimeacha chuo nikiwa zimebaki wiki 6 nimalize saivi nipo navua samaki huku ziwa Victoria karibuni kwa samaki safiii
 
Umekuwa mwoga sana mpaka umepanic.

Ungemaliza tu chuo kwanza ( kama kweli umeacha )

Kukimbia chuo na kwenda kuhustle haina guarantee kwamba ndio unaharakisha mafanikio.

Sana sana unajitengenezea mrundiko wa "stress" with lots unfinished businesses
 
Wewe dogo si ndio ulijitapa kipindi cha likizo ya corona kuwa unapiga hela balaa huko mwanza?

Ukaulizwa unafanya biashara gani ukagoma kabisa kuitaja tena kwa mbwembwe nyingi?

Vipi na wale mbuzi uliosema umewanunua wa kutosha walienda wapi?

Kwanini ulilie boom laki 5 wakati unapesa ya kutosha?
 
Wewe dogo si ndio ulijitapa kipindi cha likizo ya corona kuwa unapiga hela balaa huko mwanza?

Ukaulizwa unafanya biashara gani ukagoma kabisa kuitaja tena kwa mbwembwe nyingi?

Vipi na wale mbuzi uliosema umewanunua wa kutosha walienda wapi?

Kwanini ulilie boom laki 5 wakati unapesa ya kutosha?
 
Wewe dogo si ndio ulijitapa kipindi cha likizo ya corona kuwa unapiga hela balaa huko mwanza?

Ukaulizwa unafanya biashara gani ukagoma kabisa kuitaja tena kwa mbwembwe nyingi?

Vipi na wale mbuzi uliosema umewanunua wa kutosha walienda wapi?

Kwanini ulilie boom laki 5 wakati unapesa ya kutosha?
 
Wewe dogo si ndio ulijitapa kipindi cha likizo ya corona kuwa unapiga hela balaa huko mwanza?

Ukaulizwa unafanya biashara gani ukagoma kabisa kuitaja tena kwa mbwembwe nyingi?

Vipi na wale mbuzi uliosema umewanunua wa kutosha walienda wapi?

Kwanini ulilie boom laki 5 wakati unapesa ya kutosha?
Sijalolia boom Kaka, afu boom n haki yangu kwani nitakuja kulipa baada ya miezi 24. Na Ni kweli nilipiga pesa wakati wa Corona kk. Nakumbuka ww ulikuwa mmoja watu walikuwa wananiponda sana
 
Umekuwa mwoga sana mpaka umepanic.

Ungemaliza tu chuo kwanza ( kama kweli umeacha )

Kukimbia chuo na kwenda kuhustle haina guarantee kwamba ndio unarahisha mafanikio.

Sana sana unajitengenezea mrundiko wa "stress" with lots unfinished businesses
Coz najua hakuna ajira
 
Sijalolia boom Kaka, afu boom n haki yangu kwani nitakuja kulipa baada ya miezi 24. Na Ni kweli nilipiga pesa wakati wa Corona kk. Nakumbuka ww ulikuwa mmoja watu walikuwa wananiponda sana
Kaa chini tulia, usipaniki sana,

Ndipo uandike vizuri

Njoo na hoja yako sasa
 
Soma vizuri ulichoandika

Nakumbuka kijana kwenye uzi wa kupeana connection ulitoa sheet sana na tulikwambia mapema

Nadhani sasa unaelewa
 
Leo naomba niseme kitu kwa machungu sana. Hakuna kitu ambacho sipendi maishani mwangu Kama kuumba msaada kwa mwanadamu mwenzangu hasa msaada wa kifedha. Wanadamu bana siyo watu ambao naweze kuweelezea shida zangu labda nieleze huku jf ambako hakuna anaye nifahamu.

Jamani tunajua saivi ajira ni ngumu sana tena sana. Siku hizi ata sisi tuliosoma course Kama za Education bado tunaenda kutembea na bahasha kutafuta ajira Ni kitu ambacho kinaumiza sana but tutafanyeje? Maisha yamekuwa magumu sana kwetu sisi wasomi tunashindwa tufanyeje.

Wengi tulikwenda chuo tukiwa na lengo la kusave boom ili baada ya kumaliza chuo tupate pa kuanzia ila mambo yalikwenda mrama na tunaelekea kumaliza bila hata nauli ya kuturudisha tulikotoka huku tukiwa na theory za kutosha kichwani.

Nadhani wengi wetu tulishuhudia hali halisi kipindi cha CORONA kweli tulichakalika sana hasa sisi ambao hatutaki kakaa bila kazi. Ila cha kushangaza mtu anakwambia wewe na hii kazi mbona huendani nayo kabsaa hasa sisi tuliopewa mili ya kuonekana Kama tuna pesa sana.

Japo nimechanganya habari lakini naomba kuhitimisha kwa kuomba wasomi wenzangu tupige kazi yeyote hata Kama Ni kuzibua vyoo lakini tukiwa na lengo. Tufanye huku tukinunua vitu ambavyo badaye tutaviuza na kupata mtaji mkubwa ili tuondokane na fedheha za wanadamu ambao hawakupata bahati ya kwenda shule. Kweli huwa nachukia mtu kunidharau kisa nimesoma afu sijafanikiwa.

Kweli kuna kipindi nilipigika mpaka nikatamani nife make mpaka kuna ndugu yangu anayo pesa lakini nikimuomba ata anikopeshe ata 20000 tu nifanye mtaji wa kuuza ata nyanya ananinyima. But niliposema Sasa nimeamua kupambana kweli alimtuma mtu akaniletea 100k. Niseme tu ukweli nilienda siku hiyo hiyo nikanunua materials ya kujenga banda la kufugia kuku. Ili pesa nilikuwa naipata niweze kuzungusha vzr.

Nilichojifunza ni kuwa tusipende kuongea sana but tufanye action sana. Kuna vijana wengi tupo mtaani bila kazi but nashauri tuchape kasi hasa zile kazi ambazo zinatupa muda wa kujitawala. Tusipende kuomba mpaka vocha jmn. Unakuta kijana kamaliza chuo kikuu na hana uwezo wa kununua hata bando la 1500 kwa wiki inauma sana.

Mungu akutangulie ila Mimi tayari nimeacha chuo nikiwa zimebaki wiki 6 nimalize saivi nipo navua samaki huku ziwa Victoria karibuni kwa samaki safiii
Wale wenye shida waje nitawapatia mitaji.
Ila uje na proposal kabisa ya mradi.
 
Back
Top Bottom