Uwazitu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2019
- 1,419
- 1,396
Umerudi shule au bado unahangaika na mitaa? Unajiponza bureee! Maliza shule ndo uhangaike na siasa. Utakuwa kama akina Mnyika na Mbowe na soon tutaweka mahitaji ya digrii kuwa Mbunge.
Uliyoandika yote yameshaelezwa magazetu ya leo, yakieleza msimamo wa K/mkuu wa CCm juu ya hilo. Dogo unaleta tena mitandaoni, ili iweje?
Katibu Mkuu wa CCM kalipeleka hilo SUALA Polisi?
Waliotumia lugha za Kijinai wamehojiwa?