Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,692
- 5,452
Sisi wananchi wa hali ya chini tulifarijika sana na maneno yako pale ulipotangaza kuwa, upo tayari kutusaidia japo kulipia pango la nyumba kwa miezi mitatu kwa wananchi wa hali ya chini 500.
Tunaona siku zinazidi kukatika na hatujapata mrejesho wowote kama msaada huo upo au laa.
Tunaona siku zinazidi kukatika na hatujapata mrejesho wowote kama msaada huo upo au laa.