Kwako Diamond Platnumz...

Expensive life

JF-Expert Member
May 2, 2020
1,684
5,427
Sisi wananchi wa hali ya chini tulifarijika sana na maneno yako pale ulipotangaza kuwa, upo tayari kutusaidia japo kulipia pango la nyumba kwa miezi mitatu kwa wananchi wa hali ya chini 500.

Tunaona siku zinazidi kukatika na hatujapata mrejesho wowote kama msaada huo upo au laa.
SIMBA..!🦁_on_Instagram:_“Najua_katika_kipindi_hiki_cha_Corona,_mambo_mengi_hayajakaa_sawa,_hus...jpg
 
Kwani ulikuwa unasubiria msaada wake pia mkuu, navyokumbuka alisema atatoa kwa watu ambao hawawezi kulipa kodi kwa njia yoyote ile mfano walemavu na wazee

Kingine katika mji wa zaidi ya watu million 5 ambao wengi ni maskini, huoni chance ya kupata ni ndogo mno mkuu
 
Kwani ulikuwa unasubiria msaada wake pia mkuu, navyokumbuka alisema atatoa kwa watu ambao hawawezi kulipa kodi kwa njia yoyote ile mfano walemavu na wazee

Kingine katika mji wa zaidi ya watu million 5 ambao wengi ni maskini, huoni chance ya kupata ni ndogo mno mkuu
Ni kweli mkuu,nisipopata mimi watapata wengine ila mbona kakausha atoe mzigo.
 
Back
Top Bottom