Kwako Barbara Gonzalez; Mwijaku hatufai kuwa Muhamasishaji

Looooh, Sina Nia ya kumtetea mteuliwa au mteuaji, Ila nachotaka kusema Ni kwamba Nani Hana makandokando chini ya hii Dunia na awe wa Kwanza kumdiss Mwijaku, WOTE tuna makando Ila yanatofautina TU......mleta mada jipige kifuani Mara tatu na useme"HAKUNA MKAMILIFU CHINI YA JUA".
 
Nini maana ya kuwa msomi ikiwa usomi wako pamoja na hizo so called PhD hazijakusaidia?

Tunasoma ili;
1. Kuondoa ujinga
2. Kupata kazi nzuri ikusaidie kuendesha maisha.

Lengo la kwanza ni kuondoa ujinga kwanza, kwenye maisha sio lazima uwe msomi ndio uwe na maisha mazuri.

Mwenzetu amefanikiwa kwenye lengo la pili, lengo la kwanza la kumuondolea ujinga amefeli.

I stand to be corrected.
Unasoma kuondoa ujinga upi?

Mfano: katika maisha kutokujua kusonga ugali ni ujinga, na pia kutokujua viungo vya panzi kwa kiingereza ni ujinga.....

Sasa ujinga mnaosoma kuuondoa hua ni upi?

Isijekua hua mnateseka kuondoa ujinga usio na msaada kwenye maisha.
 
Unasoma kuondoa ujinga upi?

Mfano: katika maisha kutokujua kusonga ugali ni ujinga, na pia kutokujua viungo vya panzi kwa kiingereza ni ujinga.....

Sasa ujinga mnaosoma kuuondoa hua ni upi?

Isijekua hua mnateseka kuondoa ujinga usio na msaada kwenye maisha.

Ahsante.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
ktk kitu imenikasirisha ni hii

followers wa simba kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii ya page ya simba wanapata habari kirahisi sana.

hatuitaji binadamu wa kuropoka ropoka tena kwa sasa sisi ni vitendo tu.

simba ya sasa haiitaji vuvuzela ili kujaza uwanja au hata kama tumeruhusiwa mashabiki wasiozidi 15000 hao wanapatikana mapema tu.
 
N
Kwako CeO Barbara Gonzalez

Unawezaje kumteua mtu asie na maadili kama Mwijaku kuwa muhamasishaji wa Simba?
Club ya Simba imefika level ya juu sana,kiasi ya kwamba afisa yeyote atakaejihusisha na brand yetu hatakiwi kuwa na makando kando

Mwijaku ni mdhalilishaji wanawake,ameshawahi kupata scandal ya kuvujisha picha za ngono na kuwekwa mahabusu takriban wiki mbili,ni yule msichana tu ameamua kumuachia Mungu,lakini what if wasioitakia mema Simba,wakiamua kumshawishi arudishe kesi mahakamani, huoni kama umeweka rehenani brand yetu?

Kwan hakuna watu wengine wanaoweza kuisemea Simba zaidi ya Mwijako?

Ukiwa CeO wa kwanza mwanamke kwenye ukanda huu,halafu unateua mdhalilishaji wanawake,huoni kwamba unajiaibisha na kuaibisha club yetu?

Umefanya kosa kubwa sana Madam CeO,na usipolirekebisha litatuletea matatizo mbeleni

Wacha majungu wewe!
 
Kaondolewa mwenye Asd... attention seeking disorder...

Anakuja mwenye chronic bipolar...


Kila mgonjwa wa akili Tanzania ni celeb...
Vituko wanavyofanya kwa sababu ya ugonjwa
Ndo tunaita 'mashamsham'...au "vipaji"..


Very sad

The way ume classify his shortcomings.....umetembea kwenye mstari.
 
Kwa ufupi nimesikitika sana baada ya kusikia Mwijaku kuwa muhamasishaji, simba ni next level sasa tunaanza kurudi kwenye level ya utopolo yaani tunarudi nyuma badala ya kumove on, kuna uazima gani wakuwa na wahamasishaji ? Huu ni uswahili bana tutoleeni takataka zenu
 
Mleta mada umedhihirisha kweli Tanzania tunaongoza kwa uchawi.
Yaani full wivu May be wewe ni zeruzeru Manara.
 
Kaondolewa mwenye Asd... attention seeking disorder...

Anakuja mwenye chronic bipolar...


Kila mgonjwa wa akili Tanzania ni celeb...
Vituko wanavyofanya kwa sababu ya ugonjwa
Ndo tunaita 'mashamsham'...au "vipaji"..


Very sad
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwako CeO Barbara Gonzalez

Unawezaje kumteua mtu asie na maadili kama Mwijaku kuwa muhamasishaji wa Simba?
Club ya Simba imefika level ya juu sana,kiasi ya kwamba afisa yeyote atakaejihusisha na brand yetu hatakiwi kuwa na makando kando

Mwijaku ni mdhalilishaji wanawake,ameshawahi kupata scandal ya kuvujisha picha za ngono na kuwekwa mahabusu takriban wiki mbili,ni yule msichana tu ameamua kumuachia Mungu,lakini what if wasioitakia mema Simba,wakiamua kumshawishi arudishe kesi mahakamani, huoni kama umeweka rehenani brand yetu?

Kwan hakuna watu wengine wanaoweza kuisemea Simba zaidi ya Mwijako?

Ukiwa CeO wa kwanza mwanamke kwenye ukanda huu,halafu unateua mdhalilishaji wanawake,huoni kwamba unajiaibisha na kuaibisha club yetu?

Umefanya kosa kubwa sana Madam CeO,na usipolirekebisha litatuletea matatizo mbeleni
Acheni fitnah....

Kama alipelekwa mahabusu hawezi kubadilika?!!!

Binafsi ni mwanachama wa Yanga ila mfuatiliaji mzuri na mpenda mafanikio ya kweli ya soka letu....

Tumuache ndg.Mwijaku awafanyie kazi watani wetu kwani Kama ana makandokando nina imani Simba wanayajua na bado wamemteua!

#DaimaMbeleNyumaMwiko
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom