Kwako Barbara - CEO Simba Sports Club

Simba kwakweli msimu huu mkae pembeni mchukue peni na note book muangalie jinsi gani wananchi wanapiga pira sakafu pira busati
bhana yaani kuwa mbele kwa points 5 mnajiona mpo juu???

Kumbuka hapo ni mechi mbili tu, halafu ligi ndio kwaanza inaanza, lolote laweza kutokea hata majeruhi tu na mkayumba so hata hamjafikia rekodi yenu ya mwaka jana, kaeni kwa kutulia
 
Wacha majungu, Msimu uliopita mechi 4 za kwanza tulipata pointi 4.
Msimu huu mechi 4 za kwanza tumepata pointi 8.
Huoni kuwa msimu huu tumeanza vizuri ?
Msimu uliopita
1. Simba 2 Ihefu 1
2. Simba 1 Mtibwa Sugar 1
3. Simba 0 Prison 1
4. Simba 0 Ruvu shooting 1
Tukiwa na huyo Chama na Miquessone.

Wacha ushabiki Maandazi.
 
Wacha majungu, Msimu uliopita mechi 4 za kwanza tulipata pointi 4.
Msimu huu mechi 4 za kwanza tumepata pointi 8.
Huoni kuwa msimu huu tumeanza vizuri ?
Msimu uliopita
1. Simba 2 Ihefu 1
2. Simba 1 Mtibwa Sugar 1
3. Simba 0 Prison 1
4. Simba 0 Ruvu shooting 1
Tukiwa na huyo Chama na Miquessone.

Wacha ushabiki Maandazi.
Kwa hiyo unaamini ya msimu uliopita yatajirudia??
 
Wacha majungu, Msimu uliopita mechi 4 za kwanza tulipata pointi 4.
Msimu huu mechi 4 za kwanza tumepata pointi 8.
Huoni kuwa msimu huu tumeanza vizuri ?
Msimu uliopita
1. Simba 2 Ihefu 1
2. Simba 1 Mtibwa Sugar 1
3. Simba 0 Prison 1
4. Simba 0 Ruvu shooting 1
Tukiwa na huyo Chama na Miquessone.

Wacha ushabiki Maandazi.
Mkuu lakini kwa yanga katika regular 11st eleven starters wao wamebadilika this season,Ni Kibwana,Feisal na Yacauba Sogne tu ndo wanaanza wengine wote ni wageni,hata pira la yanga siku izi limebadilika mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu lakini kwa yanga katika regular 11st eleven starters wao wamebadilika this season,Ni Kibwana,Feisal na Yacauba Sogne tu ndo wanaanza wengine wote ni wageni,hata pira la yanga siku izi limebadilika mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mapema sana kuanza kukweza timu flani na kuishisha timu ningine.
Tathmini ifanyike japo katikati ya ligi yaani mzunguko wa kwanza.
Lolote linaweza kutokea jinsi mechi zinavyoendelea.
 
Mwijaku........ mpira wa bongo una comedy nyingi.

Tatizo la Simba lilianzia Pale walipouzwa Chama na Konde wakati Simba hawa kuandaa mfumo wa kucheza bila Chama na Konde.

Pili kwenye usajili naona hamu kufikiria kusajili wachezaji ambao uwezo wao unakaribiana au upo sawa na walio uzwa.

Kosa jingine kumtimua Gomes kwani hata atakaye kuja atahitaji mda wa kuijenga timu,bora mngemwacha na kumpa time frame ya mechi kama tano, then kama hasinge deliver ndipo mngemtimua.
Kwani walimtimua?
 
Hakuna lolote tumefel kwa makusudi tu acha yatupate aya uzipojenga ufa utajenga ukuta ,watu wanapga kelele muda mrefu kuhusu matatzo ya simba viongozi kama hawasikii pamoja na kufanya vzur karbu misimu minne lkn simba ukiangalia ilikua na shida karbu kila sehemu.

Mwaka huu tena yakaongezeka mengine kuondoka kwa chama na luis jumlsha matatzo ya uko nyuma unategemea ufanye vzur ata kama utasifiwa na vyombo vyote vya habari ,kwa usajili wa simba pamoja na wapinzan kujizatiti nilijua tu viongoz wa simba wataona dilisha dogo lipo mbali mpra wa mazoea ndio kinachoiangusha Manchester United na ndio iko iko kinaenda simba
Simba ilikuwa na shida zipi miaka minne nyuma na sasa zimeongezeka zipi ?
 
Mkuu lakini kwa yanga katika regular 11st eleven starters wao wamebadilika this season,Ni Kibwana,Feisal na Yacauba Sogne tu ndo wanaanza wengine wote ni wageni,hata pira la yanga siku izi limebadilika mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Msimu uliopita waliongoza ligi round ya kwanza yote baadae tutawapita tu pamoja na kutufunga mechi ya round ya pili
 
Kukosa ubingwa kwenye ligi ni jambo la kawaida na sitashangaa chochote.
Afadhali umeongea kimpira.. maana kuna wenzio wameaminishwa kwamba Simba ikifungwa au isipochukua point 3 Basi kuna hujuma.. mawazo hatari Sana hayo.
 
Msimu huu Yanga imeimarika sana.
Kwakuwa imesajiri wachezaji wenye uzoefu na wengi wakitokea timu moja A.S. Vita.
Simba imasajiri wachezaji ikiwa na lengo la kuwaimarisha hivyo tutarajie Yanga kufanya vizuri kwenye ligi kuliko Simba.
Binafsi nawapa Yanga asilimia kubwa ya kuchukua ubingwa wa NBC.
 
"Kosa jingine kumtimua Gomes kwani hata atakaye kuja atahitaji mda wa kuijenga timu,bora mngemwacha na kumpa time frame ya mechi kama tano, then kama hasinge deliver ndipo mngemtimua"
CC joseph1989

Didier Gomes Da Rosa amefukuzwa au kuvunjiwa mkataba wake baada ya kuvunjika kwa miongoni mwa vipengele vya mkataba wake ambacho kilikua ni kuipeleka timu nusu fainal ya Klabu Bingwa Afrika, Kipengele hicho pia kilisababisha kupanda kwa mshahara wake kwa minajili hiyo kulikua hamna namna zaidi ya kutimuliwa

Kwa upande wangu naona sawa tu kutimuliwa kwani Gomes aliikuta simba inacheza mpira wa chini wa kueleweka ila haina spidi na haiko solid nyuma yeye akaifanya simba iwe solid na kua na spidi lakini simba aliyoanza nayo msimu haiko solid, Haiweki mpira chini imebakia na spidi tu na kushambulia kwa kushtukiza afadhali aje kocha mwenye falsafa ya simba tuliyoizoea nahisi asingeweza kukaa sawa kamwe
 
Wacha majungu, Msimu uliopita mechi 4 za kwanza tulipata pointi 4.
Msimu huu mechi 4 za kwanza tumepata pointi 8.
Huoni kuwa msimu huu tumeanza vizuri ?
Msimu uliopita
1. Simba 2 Ihefu 1
2. Simba 1 Mtibwa Sugar 1
3. Simba 0 Prison 1
4. Simba 0 Ruvu shooting 1
Tukiwa na huyo Chama na Miquessone.

Wacha ushabiki Maandazi.
Msimu uliopita Yanga mechi 1 point 1, Simba mechi 1 points 3.

Msimu huu Yanga mechi 1 points 3, Simba mechi 1 point 1.
 
Back
Top Bottom