kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Hivi vituzo uchwara vya Nobel ni mpango wa mabeberu tu huu kuendelea kunyonya rasilimali.
Eti miongoni mwa sababu za kupewa tuzo ni kukubali ubinafsishaji/ubepari kubinafsisha rasilimali za nchi kwa kikundi cha wachache aka wawekezaji au wakoloni mamboleo wanaojiita wawekezaji.
My take: Leo nawasilisha hoja ya kitoto tu yaani kama wale Lumumba.
Eti miongoni mwa sababu za kupewa tuzo ni kukubali ubinafsishaji/ubepari kubinafsisha rasilimali za nchi kwa kikundi cha wachache aka wawekezaji au wakoloni mamboleo wanaojiita wawekezaji.
My take: Leo nawasilisha hoja ya kitoto tu yaani kama wale Lumumba.