GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,417
- 108,519
Sawa kuwa sasa uko chini ya Maelekezo ya Mswahili wa Chalinze najua ndiyo anakuweka karibu na Rafiki yake Mwalimu wa Ufisadi Tanzania nzima ili akufundishe na Wewe 'Kuwafisadi' Watanzania ili mpaka unatoka basi uwe umeshawekeza vya kutosha katika Kisiwa Tajiri cha Karafuu na chenye Vijana na Wanaume wengi 'Sleki Sleki' na wanaopenda sana 'Kurembua' macho yao kama Mchezaji 'Mbovu' wa Yanga SC Feisal Salum 'Fei Toto' pia.