GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
" Tumeitoa Yanga SC Uswahilini pale Manzese wakiwa na hali mbaya, Njaa wakila Maharage na Ugali wa Kugombania na Wanang'atwa na Mbu na sasa tumewaweka pale Avic Town Kigamboni wanakula vizuri sana "
Yaani wana Yanga SC wote kama kuanzia Usiku huu na mpaka Kesho hatujamfukuza Injinia Hersi Said na GSM yake Yanga basi Mimi GENTAMYCINE nahamia rasmi Simba SC kwa Mo Dewji ambako kuna Raha, Utamu, Heshima na Mafanikio.
Injinia Hersi katutukana vjbaya sana tu.
Yaani wana Yanga SC wote kama kuanzia Usiku huu na mpaka Kesho hatujamfukuza Injinia Hersi Said na GSM yake Yanga basi Mimi GENTAMYCINE nahamia rasmi Simba SC kwa Mo Dewji ambako kuna Raha, Utamu, Heshima na Mafanikio.
Injinia Hersi katutukana vjbaya sana tu.