Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Suala la kuzaa hovyo wala halina mjadala, pia halina namna unaweza kulihalalisha. Ni tabia isiyofaa katika jamii na ni kuwanyima watoto malezi bora. Garbage ni pamoja na kujaribu kuaminisha ouwa hilo ni jambo la kawaida, ni kinyume na noms za jamii isipokuwa kuna kizazi kimekuwa programmed kuamini ni natural. Hata wanyama hawazai bila utaratibu. Mind programming ni jambo la hatari sana

mnhhhh..

hakuna kizazi kilichokua programmed kuamini ni natural kuzaa hovyo,chochote unachokiona leo jua kilikua in the past generations na kimersuvive kikawa passed on to this generation,this is evolutionary Psychology..this means kuzaa hovyo kulikuwepo na its 'natural' to happen....namaanisha ni jambo la kawaida,sasa wewe unapita na fagio lako kutaka kufagia vitu ambavyo ni natural ku happen, you are wasting your time mkuu....

i understand watoto wanahitaji malezi ya baba na mama..lakini hii isikufanye kuwapa death penality single mothers..wapo wanao work hard watoto wao wasi feel hilo Gap...
 
Rebeca 83, Ok, tuseme basi suala la uzazi halihitaji kuwa jinsia mbili, hata mwanamke peke yake aweza kujenga familia. Basi hhakuna haja ya malalamiko ya single mothers kutelekezwa, it is natural. Single mothers mmeshinda, zaeni for as much as you wish
 
Dada zangu nisikilizeni. Swala la kumzalia mwanaume hajakuoa life. Pata mimba toa ibaki siri yako moyoni.Yani ua kizazi chake Mpaka siku atakuoa na kukufanya mke. Hawa wanaume ni wa###nzi sana. Kwanini umzalie mtu atakuacha, kukutukana, utaharibu mwili wako na ku dissapoint wazazi wak na kujipa majukumu ya kulea kitoto cha mtu maisha yako yote.No ndoa no watoto. Piga game tumia usichana wako unavyotaka.
 
Ok, tuseme basi suala la uzazi halihitaji kuwa jinsia mbili, hata mwanamke peke yake aweza kujenga familia. Basi hhakuna haja ya malalamiko ya single mothers kutelekezwa, it is natural. Single mothers mmeshinda, zaeni for as much as you wish

naona umepindisha hoja yangu makusudi,ni hivi.. single mazas wataendelea kuwepo..whether wanapata support ama kutelekezwa..hiki kitu is bound to happen..sasa wewe kazana kutoa mshipa wa shingo kudhani utasaidia lolote usingle mother usitokee..soo naïve.
 
Single mother anapaswa kuolewa na single father au Mgane au mwanaume wa makamo au mzee. Kamwe kijana usijaribu kuchukua single mother, utakuwa unabahatisha mnoo, na huenda ukateseka sana.

Single mother hawana shida, shida ni vijana wanaokimbilia kuwaoa single mother wakati vigezo na masharti hawawezi kuvizingatia.
Jibu hili liwafikie single mothers wote na watetezi wao. Kuolewa sawa lakini vigezo na masharti vizingatiwe. Nje ya vigezo hivi ni kwamba mwanaume ameamua kujisulubu mwenyewe, yatakayompata shauri yake, asiseme hakuonywa.
 
naona umepindisha hoja yangu makusudi,ni hivi.. single mazas wataendelea kuwepo..whether wanapata support ama kutelekezwa..hiki kitu is bound to happen..sasa wewe kazana kutoa mshipa wa shingo kudhani utasaidia lolote usingle mother usitokee..soo naïve.
Mkuu, tunaposema jamii iepuke uzinzi na uasherati ni kuwakumbusha tu kwani wapo wenye akili njema (wasioharibika akili bado) wanaweza kunufaika na ushauri huo. Sasa kama wewe umeona hoja hizi ni za kuudhi kwako basi, ujue mada hii si kwa ajili yako. Hata imani za kidini zinapohubiriwa si wote wanaokubaliana na mwelekeo wake. Ila tu si busara hata kidogo kudai eti nikomaze mshipa kwamba siwezi kusaidia lolote, wapo wengi tu walionishukuru PM, tena wanawake, hao nawaita wanaojitambua. Nikutakie sex revolution njema, ila daima kumbuka ndege mjanja hunaswa na tundu bovu.
 
Mkuu, tunaposema jamii iepuke uzinzi na uasherati ni kuwakumbusha tu kwani wapo wenye akili njema (wasioharibika akili bado) wanaweza kunufaika na ushauri huo. Sasa kama wewe umeona hoja hizi ni za kuudhi kwako basi, ujue mada hii si kwa ajili yako. Hata imani za kidini zinapohubiriwa si wote wanaokubaliana na mwelekeo wake. Ila tu si busara hata kidogo kudai eti nikomaze mshipa kwamba siwezi kusaidia lolote, wapo wengi tu walionishukuru PM, tena wanawake, hao nawaita wanaojitambua. Nikutakie sex revolution njema, ila daima kumbuka ndege mjanja hunaswa na tundu bovu.

uasherati na uzinzi ni jukumu la wote wanawake na waume,ungekataza both wanaume na wanawake ili masingle mazas wasitokee ningekuelewa..ila wewe umekazana jisome tena the whole topic ni wanawake as if hizo mimba wanajitunga wenyewe..mbaya Zaidi nimekuona pale juu umempa 'like' mtu aliyesema wanawake tufanye 'abortion' ili tusiwe single mazas...yaani nimeshangaa huku unahubiri usafi..ubikira mpaka ndoani huku una advocate uuaji...huna usafi wowote!.

.hao wanaokufuta PM kwa ajili ya huu 'ushauri' wana matatizo nao..message yangu kwako na kwao..mambo hayako that strict..anzeni kuona mambo with open eyes...

nilikosea pale juu sio revolutionary ni evolutionary..ukipata muda pitia mwenyewe ..it is fascinating...
 
Rebeca 83, Evolutionary!! Nothing is evolutionary bali ni kujidanganya. Majuto ni mjukuu, hiyo sex evolution ni mind programming. Ni aibu baadhi ya watu wasiojitambua wameambukizwa fikra hizi za hovyo kabisa. Mwisho wake huwa ni mbaya no matter what!
 
Duuh uzi bado unaendelea
Ila mkuu Nyerere usiwaze somo lako limetuingia sana sisi wanaume hatuwezi Fanya Hilo kosa atakaenda kinyume at his own risk
 
Evolutionary!! Nothing is evolutionary bali ni kujidanganya. Majuto ni mjukuu, hiyo sex evolution ni mind programming. Ni aibu baadhi ya watu wasiojitambua wameambukizwa fikra hizi za hovyo kabisa. Mwisho wake huwa ni mbaya no matter what!

Wa kujidanganya ni wewe, naona unaishi kwenye ulimwengu wa kufikirika..ulimwengu ambao kila mtu anaconform to the rules!..hasa wanawake ,, lazima wafate rules!...hata wale religious extremists huwa wanaanzaga kama wewe kufikiri kila mtu lazima a conform to their ways!..nakuvuta uone the real world naona bado mzito,,,kwa heri!

Evolution and mind mapping..ukipata muda tafuta mwenyewe....very interesting,,,ni kwa vile tayari uko biased...nyekundu utasema nyeusi hata kama unaiona kabisaa kuwa ni nyekundu...

Naona usingle mothers na uuaji unabariki uuaji,,, doh! Watoto walikufanya nini hutaki kuwasikia?
 
Wa kujidanganya ni wewe, naona unaishi kwenye ulimwengu wa kufikirika..ulimwengu ambao kila mtu anaconform to the rules!..hasa wanawake ,, lazima wafate rules!...hata wale religious extremists huwa wanaanzaga kama wewe kufikiri kila mtu lazima a conform to their ways!..nakuvuta uone the real world naona bado mzito,,,kwa heri!

Evolution and mind mapping..ukipata muda tafuta mwenyewe....very interesting,,,ni kwa vile tayari uko biased...nyekundu utasema nyeusi hata kama unaiona kabisaa kuwa ni nyekundu...

Naona usingle mothers na uuaji unabariki uuaji,,, doh! Watoto walikufanya nini hutaki kuwasikia?
Sina cha kujifunza kwenye hizo sexual evolution. Nimetafiti yote hayo na si hivyo tu, sasa hivi hata hao waliokulisha matango pori huko kwao wanajuta. Ulaya na marwkani sasa hivi wako kinyume na huo upuuzi, wakati nchi zisizojitambua ndio zinajidai kufuata hayo. Wewe ndio unaishi katika ulimwengu wa kufikirika, umepote kweli kweli, umekaririshwa mambo ambayo ni theoretical kwani katika practoce yameshindwa vibaya mno.

Waafrika tunaiga bila kuchuja, tumegeuzwa misukule tukizolewa na kila upepo wa kimagharibi, halafu tunajidai kuelewa zaidi kumbe tumegeuzwa misukule. Hao watoto unaojidai kuwahurumia ndio kwanza unawahujumu. Mimi napigania wapate malezi sahihi ya baba na mama, wewe unapigania sexual evolution ambapo mwanamke aweza kumwoa mwanamke halafu wakajifanya wazaz. This is disgusting na siwezi kamwe kuikubali, huu ni ukengeufu wa kuvuka mipaka.
 
Nyenyere,

...nilivyokuambia dig it yourself sikumaanisha uende kwenye matabloids...again tafuta muda ujiongeze mwenyewe sina muda wa kukaza shingo kumfundisha mtu nyeusi wakati keshakariri ni nyekundu...

kwamba ni theoretical sio practical..hii sentensi imenionyesha hujui unachoongea..pole sana..you are soo lost..

Muuaji wewe unajificha kwenye kivuli cha kupigania malezi sahihi wakati ume ignore life of a child,a child that has a right to live..inashangaza hurespect life of a child at first bali baadae kwenye malezi ndio unakua uko concerned...mkuu hujitambui….

Second hayo malezi ya baba na mama mbona hujaweka wanaume kwenye hii topic?... au hujui wanaume's responsibilities kwenye ku create single mothers?..wanawake wangebaki bikira kama nyie wanaume mngebaki pia na bikira na tatizo la usingle mother lisingekuwepo .Fact!..sema na wanaume wenzio..sababu hili linawahusu,sio sisi!...

hahaaa eti tumegeuzwa misukule na wamagharibi...mkuu hao wamagharibi wanafananaje??..mtume mmoja huku vikindu nimsalimie..lol..huwezi kuprove lolote Becky nawajua wamagharibi 😁 😁 ;)

Endelea kuishi kwenye dunia ya kufikirika...maana hata ukivutwa hujiongezi..lol
 
Ndiyo, sababu Mungu ni wa wote.
Including sisi tuliokataa kuoa single mothers na tunaendelea kuhimiza wengine wafuate mfano huo. Single mother hapana, hilo nimelipiga marufuku kwenye familia yangu na jamii yangu yote na nasisitiza kwa wote ninaowapenda waepuke hiyo laana.

Hata wanaokunywa madawa ya kulevya watasema Mungu ni wa wote! Kwahiyo endelea kutetea single mothers, sisi wengine tunakataza na kupinga kabisa laana hiyo.
 
Including sisi tuliokataa kuoa single mothers na tunaendelea kuhimiza wengine wafuate mfano huo. Single mother hapana, hilo nimelipiga marufuku kwenye familia yangu na jamii yangu yote na nasisitiza kwa wote ninaowapenda waepuke hiyo laana.

Hata wanaokunywa madawa ya kulevya watasema Mungu ni wa wote! Kwahiyo endelea kutetea single mothers, sisi wengine tunakataza na kupinga kabisa laana hiyo.
Laana right?? Vipi na wale single mothers wanaohangaika na watoto peke yao hadi mwisho wa siku watoto wao wanakuja kufanikiwa kielimu na kiuchumi??

Halafu tusingewaona wanafiki kama mngekuwa mnawashutumu na hao wanaume wanaosababisha uwepo wa single mothers kwa sababu za kipumbavu
 
Back
Top Bottom