Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Suala la kuzaa hovyo wala halina mjadala, pia halina namna unaweza kulihalalisha. Ni tabia isiyofaa katika jamii na ni kuwanyima watoto malezi bora. Garbage ni pamoja na kujaribu kuaminisha ouwa hilo ni jambo la kawaida, ni kinyume na noms za jamii isipokuwa kuna kizazi kimekuwa programmed kuamini ni natural. Hata wanyama hawazai bila utaratibu. Mind programming ni jambo la hatari sana
mnhhhh..
hakuna kizazi kilichokua programmed kuamini ni natural kuzaa hovyo,chochote unachokiona leo jua kilikua in the past generations na kimersuvive kikawa passed on to this generation,this is evolutionary Psychology..this means kuzaa hovyo kulikuwepo na its 'natural' to happen....namaanisha ni jambo la kawaida,sasa wewe unapita na fagio lako kutaka kufagia vitu ambavyo ni natural ku happen, you are wasting your time mkuu....
i understand watoto wanahitaji malezi ya baba na mama..lakini hii isikufanye kuwapa death penality single mothers..wapo wanao work hard watoto wao wasi feel hilo Gap...