Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Ndugu andika maumivu, tuulize sisi tuliokubali kuolewa na wanaume waliozaa ujanani kwao ni kichomi. Hao watu wanakitu kimewaunganisha tn kizito sana asikuambie sijui hawana mawasiliano hayo mawasiliano m'ume akiyataka yatarudi tu. Hao wanawake hawaonagi shida kujiachia kwa baba watoto zao ht kama kaolewa haoni tabu, ila km wew umependa na umefanya uchunguz yakinifu basi Oa
Uchunguzi wangu ni yakinifu,
Labda apo uliposema baba wa mtoto akianza tena kutaka mawasiliano,
Hicho kitu kinachounganisha mimi nikimzalisha hakiwezi kuunganisha..
 
Tuache kuishi maisha nyuma ya wakati kwa wakati kama huu ni tofauti na zamani kiukweli kujilinda mpaka uwe na miaka 30+ ni ngumu sana so kwa sasa tuishi hivyohivyo tu angalia mazingira na mtu ambaye unawaza kuwa naye kabla hujacheki usingle mama wake otherwise unaweza poteza mke mwema kisa umekuta ni single mum et ni mke wa mtu
 
Hakuna mwanaume mwenye uwezo wa kukataa anapotongozwa na mwanamke, isipokuwa tu kama huyo mwanamke mvuto ziro. Otherwise sumu haijaribiwi kwa kuionja. Ukibipu unapigiwa. Ukiacha goli wazi kitu kinatinga, na matokeo yake yanakuhusu mwenyewe mwanakulitaka mwanakulipata, unakuwa singo maza unahangaika nalo na hata aliyekupelekea moto atakuwa miongoni mwa watakaokucheka!
Sasa kama wanaume hamuwezi kuchomoa mnapotongozwa na wanawake mnadhani ndiyo itakuwa rahisi kwa wanawake kuchomoa wanapotongozwa na wanaume??
 
Tuache kuishi maisha nyuma ya wakati kwa wakati kama huu ni tofauti na zamani kiukweli kujilinda mpaka uwe na miaka 30+ ni ngumu sana so kwa sasa tuishi hivyohivyo tu angalia mazingira na mtu ambaye unawaza kuwa naye kabla hujacheki usingle mama wake otherwise unaweza poteza mke mwema kisa umekuta ni single mum et ni mke wa mtu
Umenena vyema sana mkuu
 
Sasa kama wanaume hamuwezi kuchomoa mnapotongozwa na wanawake mnadhani ndiyo itakuwa rahisi kwa wanawake kuchomoa wanapotongozwa na wanaume??
Vyovyote lakini wakifanya uzembe kinachotokea ni mimba na mwanamke anabaki kuhangaika nayo kama single mother. Kwa hiyo ni wajibu wa mwanamke kuwa makini maana ndiye the vulnerable party.
Ukijijua una pumu usilete ujanja wa kusema eti mbona wengine wanavuta sigara, ukivuta sigara utabanwa kifua unaweza hata kufa ukaacha wenzio wakiendelea na starehe hiyohiyo iliyokuua!

Mwanamke ukileta ubishi eti kwa kuwa wanaume wakitongozwa wanakubali, basi na wewe kubali tu wakupelekee mambo upate khabari yako! Walewale unaowakubalia watakuita 'mama huruma', ukizaa ni 'single mother' na mwanao ni 'mwanaharamu', yote kwa kutaka tu mashidano ya kijinga.
 
Hata ukimzalisha lkn usisahau alishazaa na mtu mwingine kbla yako, hvyo mtoto wako si sabbu. Ila bado uamuz wako wew ndio sahihi
Uchunguzi wangu ni yakinifu,
Labda apo uliposema baba wa mtoto akianza tena kutaka mawasiliano,
Hicho kitu kinachounganisha mimi nikimzalisha hakiwezi kuunganisha..
 
Vyovyote lakini wakifanya uzembe kinachotokea ni mimba na mwanamke anabaki kuhangaika nayo kama single mother. Kwa hiyo ni wajibu wa mwanamke kuwa makini maana ndiye the vulnerable party.
Ukijijua una pumu usilete ujanja wa kusema eti mbona wengine wanavuta sigara, ukivuta sigara utabanwa kifua unaweza hata kufa ukaacha wenzio wakiendelea na starehe hiyohiyo iliyokuua!

Mwanamke ukileta ubishi eti kwa kuwa wanaume wakitongozwa wanakubali, basi na wewe kubali tu wakupelekee mambo upate khabari yako! Walewale unaowakubalia watakuita 'mama huruma', ukizaa ni 'single mother' na mwanao ni 'mwanaharamu', yote kwa kutaka tu mashidano ya kijinga.
Siyo mashindano ila hii tabia ya wanaume kujiona hawana makosa eti kwa sababu wao hawapati madhara ndiyo inachangia kuharibu jamii hakuna jinsia iliyoruhusiwa kutenda dhambi wala maovu

Haya ya kusema kwamba mwanamke ndiye anaathirika zaidi ni mitazamo ya jamii na siyo kila mtu anafuata mitazamo ya jamii sisi wengine huwa tunafuata maandiko ambayo yanasema wote wanaume na wanawake waache uzinzi na uasherati

Sasa ninyi mnaoshikilia bango jinsia moja eti kwa sababu tu jinsi nyingine haipati madhara (wakati nayo inahusika) ndiyo mnakuwa wanafiki ifike pahala tuache unafiki tuseme ukweli kama tumeamua kuyakemea maovu tuyakemee kwa jinsia zote na kama tumeamua kuyakalia kimya tufanye hivyo kwa jinsia zote

Kumbuka hata kuvuta sigara eti kwa sababu tu hauna pumu hakubadilishi ukweli kwamba kuvuta sigara ni kubaya kwa kifupi tu ni kwamba wanaume waache kutongoza bila kuwa na nia ya dhati na wanawake waache kukubali bila kuwa na nia ya dhati tofauti na hapo mtakuwa mnapiga kelele tu na mnapoteza muda kila kitu kudhani tunataka usawa wakati tunaongea ukweli
 
Mtoa mada huna akili ni mpuuzi kama wapuuzi wengine tu, acha kuokota mada na kucopicate hapa....

 
Back
Top Bottom