Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Ta

Tatizo wanaoingia jf wengi ni above20yrs,wadogo ndiyo mnawadanganya hasa kwa ubichi wao wakipata mimba zenu mnawalalamikia huku....

Suala la kujitunza ni muhimu ila litasaidiwa na wazazi na walezi kuwapa watoto elimu ya jinsia waweze kujitambua....

Kuna wasichana hawajui bikira ni nini na inafaida gani zaidi ya kujua ukifanya unapata mimba,so atajitahidi asipate mimba tu,hapo bado hajajitunza anatumika kama kawaida...
Kosa ni letu wazazi. Ndio maana tunaleta humu tukumbushane wajibu wetu kwa watoto
 
Ninaposema ndoa sio taasisi ya huruma ninamaasha hivi: huwezi kusema mtu aonewe huruma yaani aolewe kwa kumhurumia kwa madhara aliyojisababishia mwenyewe. Achana na single mothers, wapo waliopata maradhi kwa mfano, huwezi kusema waonewe huruma waolewe. Ndoa ni taasisi yenye vigezo, na kimojawapo mke awe bikira ingawa
wanaume siku hizi wameamua kuvaa miwani. Lakini matokeo yake tunayaona sasa, ndoa zimegeuka kaa la moto.

Kwa hiyo msitafute huruma bali mjiweke kwenye mazingira ya kustahili. Ni neno gumu lakini ndio ukweli wenyewe.

Kuhusu kuchemsha ni mtazamo wako tu, hebu pitia thread yote uone ni wangapi wanapinga ujishangae.
Pambana na kutafuta Bikra mkuu wapo wengi lakini NDOA sio lelemamaa...!! Oa bikra alafu mdomoo hautuliii...Oa bikra kichwani kweupee... Ndoa sio suala la Ubikra ni more than that
 
Haya je wanawake wakijitunza wanaume mtaweza kuvumilia kutokufanya ngono hadi mtakapofikia umri wa kuoa na kutaka kuoa??
Ninaposema ndoa sio taasisi ya huruma ninamaasha hivi: huwezi kusema mtu aonewe huruma yaani aolewe kwa kumhurumia kwa madhara aliyojisababishia mwenyewe. Achana na single mothers, wapo waliopata maradhi kwa mfano, huwezi kusema waonewe huruma waolewe. Ndoa ni taasisi yenye vigezo, na kimojawapo mke awe bikira ingawa
wanaume siku hizi wameamua kuvaa miwani. Lakini matokeo yake tunayaona sasa, ndoa zimegeuka kaa la moto.

Kwa hiyo msitafute huruma bali mjiweke kwenye mazingira ya kustahili. Ni neno gumu lakini ndio ukweli wenyewe.

Kuhusu kuchemsha ni mtazamo wako tu, hebu pitia thread yote uone ni wangapi wanapinga ujishangae.
 
Ninaposema ndoa sio taasisi ya huruma ninamaasha hivi: huwezi kusema mtu aonewe huruma yaani aolewe kwa kumhurumia kwa madhara aliyojisababishia mwenyewe. Achana na single mothers, wapo waliopata maradhi kwa mfano, huwezi kusema waonewe huruma waolewe. Ndoa ni taasisi yenye vigezo, na kimojawapo mke awe bikira ingawa
wanaume siku hizi wameamua kuvaa miwani. Lakini matokeo yake tunayaona sasa, ndoa zimegeuka kaa la moto.

Kwa hiyo msitafute huruma bali mjiweke kwenye mazingira ya kustahili. Ni neno gumu lakini ndio ukweli wenyewe.

Kuhusu kuchemsha ni mtazamo wako tu, hebu pitia thread yote uone ni wangapi wanapinga ujishangae.
Leo umeteleza! Huwa napenda mada zako sana...
Sina cha kujishangaa la sivyo tutaanza kubishana,ukweli ni kwamba siyo kila siku utakuwa sahihi!
 
Kwahiyo wazazi wanatakiwa wawachunge watoto wao kike tu ila wa kiume wawalee kuja kuwa wahuni kwa sababu tu wao hawapati madhara??
Kosa ni letu wazazi. Ndio maana tunaleta humu tukumbushane wajibu wetu kwa watoto
 
Umekazania hapo kwenye bikira haya hebu niambie mwanamke na mwanaume wakifanya uzinzi au uasherati halafu wakaamua kutubu wakasamehewa na kumrudia muumba hiyo bikira aliyoipoteza mwanamke isiporudi anapata madhara gani??

Halafu kwahiyo mwanaume kuwa juu ya mwanamke maana yake anatakiwa kumkandamiza na kumdharau?? Kwamba ili mwanaume uonekane uko juu na mwanamke aonekana yuko chini unatakiwa kumkandamiza na kumdharau?? Yaani sisi kupinga kukandamizwa na kudharauliwa na ninyi ndiyo maana yake tunataka usawa??

1. Bikira ni kiungo muhimu kwenye agano LA ndoa. Kwenye mila za nyuma binti alitakiwa kuwa bikira ndio aolewe, damu ya ubikra wake ndio ilikuwa ushahidi. Hata Biblia imeagiza hivyo, hicho kiwambo hakikuwekwa kama show tu.

2. Elezea kuhusu kumkandamiza na kumdharau. Ni wapi nimesema hayo? Kwa mwanamke aliyepea katika tamaduni za kigeni mamlaka ya mume kwake ni unyanyasaji. Nasikitika kusema wewe ni mmoja was wanawske was aina hiyo.
 
Sasa ni wanaume wangapi wanafanya hivyo kwa dunia ya sasa??
Wapo wengi tu, tatizo wewe ndio unadhani haiwezekeni. Kugawa uchi hovyo sio chaguo la mwanamume bali ni wewe mwanamke. Usipojitambua kwa kudhani unafanya kukidhi kiu ya wanaume basi ujue umejitwika majukumu ya makahaba.
 
1. Nimeuliza mwanamke aliyepoteza bikira anapata madhara gani ikiwa alishamrudia muumba wake na ndoa yake ikadumu??

2. Hakuna anayepinga hayo mamlaka ila kwanini unakataa kwamba kuna wanaume wanaotumia hayo mamlaka vibaya kuwaonea wake zao??
1. Bikira ni kiungo muhimu kwenye agano LA ndoa. Kwenye mila za nyuma binti alitakiwa kuwa bikira ndio aolewe, damu ya ubikra wake ndio ilikuwa ushahidi. Hata Biblia imeagiza hivyo, hicho kiwambo hakikuwekwa kama show tu.

2. Elezea kuhusu kumkandamiza na kumdharau. Ni wapi nimesema hayo? Kwa mwanamke aliyepea katika tamaduni za kigeni mamlaka ya mume kwake ni unyanyasaji. Nasikitika kusema wewe ni mmoja was wanawske was aina hiyo.
 
Sasa mwanaume anayetongoza hovyo na mwanamke anayegawa hovyo wana tofauti gani??

Najua utaniambia wana utofauti kimaumbile na kijamii na mimi nitakwambia mbona magonjwa nayo hayaangalii hizo tofauti yanawafuata wote??
Wapo wengi tu, tatizo wewe ndio unadhani haiwezekeni. Kugawa uchi hovyo sio chaguo la mwanamume bali ni wewe mwanamke. Usipojitambua kwa kudhani unafanya kukidhi kiu ya wanaume basi ujue umejitwika majukumu ya makahaba.
 
Umeona eenhh?? Mwenzetu anaishi kwenye jamii yake ya kufikirika!!
Ninyi mnaishi kwenye ulimwengu wa walioharibika akili, ndio maana mnaona jambo hilo halipo. Lakini nawahakikishieni kuwa wapo wengi tu wsnaofuata misingi hiyo, na sababu mojawapo hamuwaoni ni kwa kuwa hamuendani nao kitabia. Mnaishi kwenye ulimwengu tofauti uliochakachuliwa, mmeungana na wasio na hofu ya Mungu, ndio maana mnalilia kuhalalisha uasherati na uzinzi.
 
Kuingizaa...Wengine wanaingiziwa bila hata kukubali
Mazingira, binti anatengeneza mazingira yeye mwenyewe anajipeleka ghetto alafu anajifanya hataki kutiwa. Hapo hakika hatoki salama na akilalamika ni mnafiki. Mazingira ndio kila kitu, tendo la mwisho wala halihesabiki.
 
Hivi kati ya mimi na wewe nani anahalisha uzinzi na uasherati hapa??

Mimi nasema wote wanawake na wanaume wajitunze Wewe unasema wanawake wajitunze sasa hapo nani anayehalalisha huo uzinzi na uasherati??
Ninyi mnaishi kwenye ulimwengu wa walioharibika akili, ndio maana mnaona jambo hilo halipo. Lakini nawahakikishieni kuwa wapo wengi tu wsnaofuata misingi hiyo, na sababu mojawapo hamuwaoni ni kwa kuwa hamuendani nao kitabia. Mnaishi kwenye ulimwengu tofauti uliochakachuliwa, mmeungana na wasio na hofu ya Mungu, ndio maana mnalilia kuhalalisha uasherati na uzinzi.
 
Mkuu umenena kweli Tena ukweli mchungu ambao kwa vijana wa era hii inayoongoza kwa mivunjiko ya ndoa Kila kukichwa vigumu kukuelewa. Umenikumbusha wosia niliopewa wakati nipo kwenye mchakato wa kuoa "Ndoa siyo taasisi ya huruma Wala si sehemu ya kufanyiana hisani, ikiwa unaona kasoro zisizoendana na wewe usizipuuze, achana nae hata Kama alikutolea Figo wakati was kupigania uhai wako"
Umemaliza kazi mkuu, mwenye masikio na asikie.
 
Mazingira, binti anatengeneza mazingira yeye mwenyewe anajipeleka ghetto alafu anajifanya hataki kutiwa. Hapo hakika hatoki salama na akilalamika ni mnafiki. Mazingira ndio kila kitu, tendo la mwisho wala halihesabiki.
Kwahiyo huyo mwanaume kumtia huyo mwanamke kwa sababu ya hayo 'mazingira' ndiyo hana makosa??
 
Sasa wewe unaongea miaka ya 80 huko??? Hata pono hazikuwepoo... vishawishi vya kingono hakuna kabisaa.. Siku hizi haya mavazi na mavyakula ya ovyoo ukichanganya na Technology ya simu si ndo balaa... Mihemkoo juu muda wotee zama hizi sio zile mkuu...
Ndio hasa maana ya uzi huu, turejee tulikotoka baada ya kuoina tulipopotoka. Wazazi wakiona ukweli huu kuhusu wanawake waliizaa nje ya ndoa watagutuka na kuwalinda watoto wao, sio kubaki kulaumu technology. Chukua hatua ndugu.
 
Back
Top Bottom