Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wanaogopwa kuachwa ndugu...!! Mtu anaaminishwa kabisa kuwa ndoa hii hapa wee akitoa balaa
Kwa hiyo akitoa uchi ndio haachwi? Mwanamume mwenye nia ya kuoa hata akinyimwa papuchi atapoigana kumpata huyo binti kwa gharama yoyote! Hiyo gharama inapaswa kuwa ndoa
 
Ta
mmhh!!! wanawake jitunzeni msizae kabla ya ndoa,mnaona comments za mabaharia hizi
Tatizo wanaoingia jf wengi ni above20yrs,wadogo ndiyo mnawadanganya hasa kwa ubichi wao wakipata mimba zenu mnawalalamikia huku....

Suala la kujitunza ni muhimu ila litasaidiwa na wazazi na walezi kuwapa watoto elimu ya jinsia waweze kujitambua....

Kuna wasichana hawajui bikira ni nini na inafaida gani zaidi ya kujua ukifanya unapata mimba,so atajitahidi asipate mimba tu,hapo bado hajajitunza anatumika kama kawaida...
 
Umekazania hapo kwenye bikira haya hebu niambie mwanamke na mwanaume wakifanya uzinzi au uasherati halafu wakaamua kutubu wakasamehewa na kumrudia muumba hiyo bikira aliyoipoteza mwanamke isiporudi anapata madhara gani??

Halafu kwahiyo mwanaume kuwa juu ya mwanamke maana yake anatakiwa kumkandamiza na kumdharau?? Kwamba ili mwanaume uonekane uko juu na mwanamke aonekana yuko chini unatakiwa kumkandamiza na kumdharau?? Yaani sisi kupinga kukandamizwa na kudharauliwa na ninyi ndiyo maana yake tunataka usawa??
 
Sasa ni wanaume wangapi wanafanya hivyo kwa dunia ya sasa??
Kwa hiyo akitoa uchi ndio haachwi? Mwanamume mwenye nia ya kuoa hata akinyimwa papuchi atapoigana kumpata huyo binti kwa gharama yoyote! Hiyo gharama inapaswa kuwa ndoa
 
tatizo unaongea theory
Tatizo wewe ni kizazi cha kisasa. Hujui historia na sababu ya mabadiliko ya sasa. Lakini tangu zamani ilikuwa hivyo. Basi sasa nimeelewa kumbe wewe natetea unachokiona sasa na si ilivyokuwa tangu mwanzo.
 
Ungesoma mpaka mwisho usingeandika hivi. Ndoa sio taasisi ya huruma, ila suala la wajane soma mwishoni utaona.
Mkuu umenena kweli Tena ukweli mchungu ambao kwa vijana wa era hii inayoongoza kwa mivunjiko ya ndoa Kila kukichwa vigumu kukuelewa. Umenikumbusha wosia niliopewa wakati nipo kwenye mchakato wa kuoa "Ndoa siyo taasisi ya huruma Wala si sehemu ya kufanyiana hisani, ikiwa unaona kasoro zisizoendana na wewe usizipuuze, achana nae hata Kama alikutolea Figo wakati was kupigania uhai wako"
 
Tatizo wewe ni kizazi cha kisasa. Hujui historia na sababu ya mabadiliko ya sasa. Lakini tangu zamani ilikuwa hivyo. Basi sasa nimeelewa kumbe wewe natetea unachokiona sasa na si ilivyokuwa tangu mwanzo.
Sasa wewe unaongea miaka ya 80 huko??? Hata pono hazikuwepoo... vishawishi vya kingono hakuna kabisaa.. Siku hizi haya mavazi na mavyakula ya ovyoo ukichanganya na Technology ya simu si ndo balaa... Mihemkoo juu muda wotee zama hizi sio zile mkuu...
 
kipi kinaingiza mimba,kukataa au kukubali??
Kwahiyo anayeomba ngono hana makosa ila anayekubali ngono ndiyo ana makosa??

Maandiko yanasema uzinzi na uasherati ni dhambi kwa jinsia ZOTE MBILI sasa inakuwaje anayeomba uzinzi na uasherati asiwe na makosa ila anayekubali uzinzi na uasherati ndiyo awe na makosa??
 
Na mimi ndiyo nashangaa hapo...
Huwa anaandika mada nzuri ila ya leo amechemsha!
Ninaposema ndoa sio taasisi ya huruma ninamaasha hivi: huwezi kusema mtu aonewe huruma yaani aolewe kwa kumhurumia kwa madhara aliyojisababishia mwenyewe. Achana na single mothers, wapo waliopata maradhi kwa mfano, huwezi kusema waonewe huruma waolewe. Ndoa ni taasisi yenye vigezo, na kimojawapo mke awe bikira ingawa
wanaume siku hizi wameamua kuvaa miwani. Lakini matokeo yake tunayaona sasa, ndoa zimegeuka kaa la moto.

Kwa hiyo msitafute huruma bali mjiweke kwenye mazingira ya kustahili. Ni neno gumu lakini ndio ukweli wenyewe.

Kuhusu kuchemsha ni mtazamo wako tu, hebu pitia thread yote uone ni wangapi wanapinga ujishangae.
 
Nina mbwa wangu ambaye umemzidi umri ila ana busara na akili kukuzidi wewe. Rudia bandiko lako mstari kwa mstari kisha mpe mtu unayedhani umemzidi maarifa asipokuambia ulichoandika ni kampeni ya kutaka wanawake ambao wana watoto wasiolewe tena. Imagine mtu ni single mother simply kwa kuwa alibakwa ama mimba za utotoni then akutane na kampeni yako hii mshuuuu...pambaffff
Huna hoja na Kama unayo basi unatatizo katika uwasolishaji wako na Kama vyote hivyo viko sawa basi mazingira na malezi yamekuharibu na kukufanya usiwe na staha Wala heshima juu ya mawazo ya wengine isipokuwa kukashifu kwa lugha zinye ukakasi.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom