Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Anayeomba ndiyo chanzo cha kila kitu hakuna effects bila causes haijalishi effects zitakuwaje ila siku zote tunatakiwa kudeal na causes kwanza

Nashauri utumie nguvu NA juhudi hizi hizi ktk kufanya kampeni kubwa kabisa ya kufa NA kuona ktk kuwaelimisha wanawake wenzako NA wasichana ili wajitambue, wawe NA ufahamu wa kutosha kabisa kuhusiana na masuala ya ndoa, pamoja na kuheshimu miiko ya ndoa.Ukitilia mkazo zaidi juu ya umuhimu wa mwanamke kujitunza, kuwa na watoto wakati tu akiwa kwenye ndoa, KUACHA KABISA TABIA YA KUZAA WATOTO AKIWA NJE YA NDOA TENA BILA UTARATIBU WALA ANGO UNAOELEWEKA.
Kuzaa nje ya ndoa KWA mwanamke ni kitendo cha kujifedhehesha sana kupita kiasi, washauri wanawake wenzako NA wasichana kuwa wajitunze, wasizae nje ya ndoa, ili kuepuka fedheha itokanayo NA kudhalilishwa ktk jamii. Mjitunze ili mheshimike ktk maisha yenu, epukeni fedheha?!
 
Singo madhaz

Watu wengi tumekuwa tukikoseshwa imani na watu hawa kutokana na matendo yao ndani ya jamii tunamoishi nao, kiukweli huwa wanadiscourage sana katika mahusiano. Hata hivyo kila mmoja achague analoona lamfaa,

Ila singo madhaz, mnh!
 
Na kwanini jamii itengeneze stigma hii??
Kitendo cha mwanamke kuzaa nje ya ndoa tena bila utaratibu au mpango maalumu unaoeleweka anahesabika kuwa ni mwanamke asiyekuwa anajitunza.Mwanamke huyo anahesabika kuwa ni mzinzi, asiye NA msimamo, dira wala mwelekeo, hajui kutunza unyumba ndio maana ameweza kutapeliwa kimapenzi kirahisi, hivyo upo uwezekano mkubwa wa kuweza kutapeliwa tena zaidi NA zaidi ktk maisha yake yote, ni mwanamke asiyefaa, n.k., n.k.

Suluhisho pekee ni KUJITUNZA, USIZAE NJE YA NDOA
 
Yale yale, hivi hao wanawake wanajizalisha wenyewe??

Hivi tukisema tushikie bango wanawake tu kujitunza halafu tukawaacha wanaume kuona kuwa wanayofanya ni sawa unadhani wanawake watapona na wataweza kukwepa vishawishi vyote kweli??
Nashauri utumie nguvu NA juhudi hizi hizi ktk kufanya kampeni kubwa kabisa ya kufa NA kuona ktk kuwaelimisha wanawake wenzako NA wasichana ili wajitambue, wawe NA ufahamu wa kutosha kabisa kuhusiana na masuala ya ndoa, pamoja na kuheshimu miiko ya ndoa.Ukitilia mkazo zaidi juu ya umuhimu wa mwanamke kujitunza, kuwa na watoto wakati tu akiwa kwenye ndoa, KUACHA KABISA TABIA YA KUZAA WATOTO AKIWA NJE YA NDOA TENA BILA UTARATIBU WALA ANGO UNAOELEWEKA.
Kuzaa nje ya ndoa KWA mwanamke ni kitendo cha kujifedhehesha sana kupita kiasi, washauri wanawake wenzako NA wasichana kuwa wajitunze, wasizae nje ya ndoa, ili kuepuka fedheha itokanayo NA kudhalilishwa ktk jamii. Mjitunze ili mheshimike ktk maisha yenu, epukeni fedheha?!
 
Yale yale, hivi hao wanawake wanajizalisha wenyewe??

Hivi tukisema tushikie bango wanawake tu kujitunza halafu tukawaacha wanaume kuona kuwa wanayofanya ni sawa unadhani wanawake watapona na wataweza kukwepa vishawishi vyote kweli??
KWA nini ukubali kushawishiwa kizembe?Kudanganywa au kurubumiwa kirahisi tena kizembe kabisa kama mtoto mdogo wa umri wa miaka mitano???
Mwanamke kukubali kudanganywa kizembe ni udhaifu mkubwa NA tena inaonyesha wazi kuwa hauna msimamo ktk maisha yako, mama huduma NA matokeo yake ni kuzalishwa nje ya ndoa na hatimaye kudhalilishwa KWA kuitwa majina mabaya yasiyofaa ktk jamii.

Shikeni msimamo, hakuna ndoa hakuna kuzaa mtoto!
Mkiwa NA msimamo huu, mkijitunza NA kujiheshimu lazima wanaume tutawaoeni, NA mtazaa watoto mkiwa ktk ndoa.
 
Lakini single fathers hawana matendo mabaya??
Singo madhaz

Watu wengi tumekuwa tukikoseshwa imani na watu hawa kutokana na matendo yao ndani ya jamii tunamoishi nao, kiukweli huwa wanadiscourage sana katika mahusiano. Hata hivyo kila mmoja achague analoona lamfaa,

Ila singo madhaz, mnh!
 
Huo ni mtazamo wa jamii lakini mtazamo wa Mungu ni kwamba mwanaume anayezalisha nje ya ndoa na mwanamke anayezalishwa nje ya ndoa wote ni wazinzi na waasherati hauwezi kusema eti mwanamke tu ndiyo ana makosa maana hata mwanaume naye anahusika na ni kwanini jamii iwe na mtazamo huo wa kumhukumu mwanamke tu??
Kitendo cha mwanamke kuzaa nje ya ndoa tena bila utaratibu au mpango maalumu unaoeleweka anahesabika kuwa ni mwanamke asiyekuwa anajitunza.Mwanamke huyo anahesabika kuwa ni mzinzi, asiye NA msimamo, dira wala mwelekeo, hajui kutunza unyumba ndio maana ameweza kutapeliwa kimapenzi kirahisi, hivyo upo uwezekano mkubwa wa kuweza kutapeliwa tena zaidi NA zaidi ktk maisha yake yote, ni mwanamke asiyefaa, n.k., n.k.

Suluhisho pekee ni KUJITUNZA, USIZAE NJE YA NDOA
 
Kwahiyo mwanaume anayeomba ngono hana makosa ila mwanamke anayekubali ngono ndiyo ana makosa siyo??
KWA nini ukubali kushawishiwa kizembe?Kudanganywa au kurubumiwa kirahisi tena kizembe kabisa kama mtoto mdogo wa umri wa miaka mitano???
Mwanamke kukubali kudanganywa kizembe ni udhaifu mkubwa NA tena inaonyesha wazi kuwa hauna msimamo ktk maisha yako, mama huduma NA matokeo yake ni kuzalishwa nje ya ndoa na hatimaye kudhalilishwa KWA kuitwa majina mabaya yasiyofaa ktk jamii.

Shikeni msimamo, hakuna ndoa hakuna kuzaa mtoto!
Mkiwa NA msimamo huu, mkijitunza NA kujiheshimu lazima wanaume tutawaoeni, NA mtazaa watoto mkiwa ktk ndoa.
 
Back
Top Bottom