Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Labda nikuulize swali kwahiyo wanaume siyo chanzo cha wanawake kuwa single mothers na wala hawahusiki kabisa?? Jibu ndiyo au hapana!!
Mkuu hiki unachokiona hapa sio cha kisikushangaze sana, ndivyo walivyo hawa, ndivyo namna ambavyo wanavyoshiriki mada, ndivyo uwezo wao wa kushiriki mijadala kama hii ulivyo, sidhani kama wanaweza kuchangia mada kwa namna nyingine tofauti na hapa.

Mara nyingi kwenye mada inayo mlenga mwanamke kwa namna wasioipenda wao hasa kama inagusa uozo wa mwanamke utawaona wanakimbilia kutaka na wanaume nao wahusishwe kwenye uozo huo, haijalishi hata kama hakuna umuhimu wa kumuhusisha mwanaume kwenye mada hiyo wao watasimamia hapo hapo wanapotaka wao. Hili tu washinde mabishano na kufunika uozo wa wanawake wenzao.

Ndio maana hapa tunaona wanakomaa sana ku-divert hii mada kuipeleka kwenye namna wanavyotaka wao.. Wanaume hivi wanaume vile blah.. blah.. Bulshiit

Usitegemee zaidi ya hicho kwenye argument zao.

Ndivyo walivyo hawa, ndivyo uwezo wao wa kushiriki mijadala kama huu ulipoishia hawana uwezo wa kujadili kwa namna mada ilivyo japo kuna mmoja aliofanya hivyo.

Nimeona pia kuna wanaume pro-single mothers wamekuja na mihemko yao utafikiri labda ndio single mothers wenyewe, hao nao usiwashangae sana sio makosa yao. Kumbuka kizazi hiki cha kiume tulichonacho ni kizazi kilichomezwa na uanamke.

Tuko katika zama ambazo zaidi ya 80% ya wanaume wote wamemeza na mfumo jike na wanaishi kwa kuwafurisha wanawake, na hao ndio wabariki wakubwa wa uozo wa wanawake tunaouona leo, maana muda wowote wako tayari kutetea ama kukingia kifua wanawake pale upuuzi wao unapoongelewa. Na mara nyingi wanaibuka kuwatetea wanawake pale upuuzi huo wa wanawake unapoongelewa na wanaume wenzao. Hawa mimi nawaita FEMALE ASS-KISSING ZOMBIES.

Mtu anakwambia eti 80% ya single mothers chanzo ni wanaume, sasa mwanaume kama huyu bado ana uanaume wake asilia kweli? Si tayari ameshatengenezwa kuwalamba makalio wanawake..!!

Na ndio maana hata wanawake wenyewe siku hizi hawaoni soni kufanya mambo ya ovyo ovyo yenye athari kwao sababu wanajua jamii yetu ina watu wa ovyo ovyo watakaowatetea tu na kuwaonea huruma.

Pasi na shaka haya mengine yako kwenye ufahamu wako!!
 
Sitaki ndoa za mitala
Mimi ninakuomba ili tujenge taasisi ya famili na kulinda kizazi chetu,na omba yangu mimi ni tofauti na omba ya hao.

Unataka nikueleze vipi bibie unielewe ? Mimi hutajilaumu kabisa ukinikubalia.
 
Sio lazima.

Sasa fanya tathmini hapo lipi kubwa na lina uzito ? Kuomba na kupewa ?
Anayeomba ndiyo chanzo cha kila kitu hakuna effects bila causes haijalishi effects zitakuwaje ila siku zote tunatakiwa kudeal na causes kwanza
 
Kulingana na mila NA desturi za mwafrika, suala LA kuwasemasema single moms haliwezi kukoma wala kukomeshwa KWA sababu ktk jamii zetu inaonekana dhahiri hao single moms tayari wamejikomesha wenyewe kwa kutaka balaa LA kuandamwa NA stigma hii kutokana na kuzaa nje ya ndoa, tena bila ya mpango au utaratibu.
Sawa mzee easy
 
Sawa lakini na mwanaume naye si anakuwa hajitambui au yeye ndiyo anakuwa anajitambua??
Nani alikudanganya mwanamke lazima ugawe uchi wake? Mume haombi uchumba gesti. Ukiona hivyo ujue binti naye hajitambui
 
Huo hapo soma
Nimeshausoma sijaona cha zaidi tofauti na mawazo yako yale yale ya kimisogynist kuna sehemu umesema "mwanaume kujilinganisha na mwanamke ni kujishusha hadhi" yaani kwamba uanamke hauna hadhi ila uanaume ndiyo una hadhi??

Sisemi mwanaume ajilinganishe na mwanamke lakini asifanye hivyo siyo kwa sababu eti jinsia fulani ndiyo ina hadhi kuliko nyingine bali kwa sababu yeye aliumbwa hivyo na anatakiwa awe hivyo ni sawa na kusema "tajiri asijifananishe na masikini anajishusha hadhi" kwamba tajiri ndiyo bora sana kuliko masikini siyo??

Na haya yote yanayoendelea kwenye jamii ni matokeo ya wanaume kuwadharau wanawake hakuna jinsia inayopenda kudharauliwa na mliambiwa mtutawale hamkuambiwa mtudharau sasa kama ndicho mlichoelewa kutoka kwa Mungu basi nina mashaka akili zenu yaani nashangaa eti wanaume wanawadharau wanawake kwa sababu ya maovu ambayo hata wanaume nao wanayafanya??

Yaani dhambi akiifanya mwanaume ni sawa ila akiifanya mwanamke ni kosa eti kwa sababu tu mwanaume hapotezi ila mwanamke anapoteza msilazimishe tofauti kwenye kila kitu dhambi ni dhambi tu haijalishi kaifanya mwanaume au mwanamke iko hivi kama ambavyo mnaona ni sawa kuwa na wanaume wazuri na wabaya basi pia acheni iwe sawa kuwa na wanawake wazuri na wabaya dunia ndivyo ilivyo ili ibalance lazima kila kitu kiwe na kinyume chake sasa ninyi mnataka kwa wanaume kuwe na wazuri na wabaya ila kwa wanawake kuwe na wazuri tu hata kwa kutumia akili ya kawaida inawezekana kweli hiyo??
 
Na kwanini jamii itengeneze stigma hii??
Kulingana na mila NA desturi za mwafrika, suala LA kuwasemasema single moms haliwezi kukoma wala kukomeshwa KWA sababu ktk jamii zetu inaonekana dhahiri hao single moms tayari wamejikomesha wenyewe kwa kutaka balaa LA kuandamwa NA stigma hii kutokana na kuzaa nje ya ndoa, tena bila ya mpango au utaratibu.
 
Back
Top Bottom