Qatif
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 379
- 859
Hivi kuipa heshima Taifa la Tanzania ni kurudi na medani ya CAFCC tu? kwamba hata waliofika robo fainali CAFCL kombe la wakubwa huku wakiwa Visit Tanzania hakuonekana kuitangaza na kuiletea heshima Taifa kweli.
Mbona hayakufanyia haya upande wa Simba SC, kuliko sasa tunayoshuhudia kwa Yanga, ruti za ndege hadi ligi za ndani na hafla Ikulu.
Mbona hayakufanyia haya upande wa Simba SC, kuliko sasa tunayoshuhudia kwa Yanga, ruti za ndege hadi ligi za ndani na hafla Ikulu.