Kwaherini Star times

Koryo2

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
2,056
2,515
Baada ya channels za Azam, ten, clouds na ITV kurudishwa na Azam Tv sasa imebidi kuwapa Star times kwaheri ya kuonana.

Binafsi nimeteseka sana kuwafuatilia kila inapotokea tatizo lakini huduma yao imekuwa hairidhishi. Kumbe hakuna kitu kibaya kama ukiritimba. Niwashukuru sana Azam tv na kwaherini ya kuonana star times

Kweli mmetutesa.
 
mi hawa ZUKU wamenichosha aswaa, kwenye king'amuzi chao hamna ITV, CLOUDS TV, CHANNEL TEN, STAR TV, zaidi ya TBC tu na wasafi sijui, kibaya zaidi kifurushi kikiisha uhoni chchote, nataka ninunue King'amuzi cha azam tu kwakweli
Najutaaa
 
mi hawa ZUKU wamenichosha aswaa, kwenye king'amuzi chao hamna ITV, CLOUDS TV, CHANNEL TEN, STAR TV, zaidi ya TBC tu na wasafi sijui, kibaya zaidi kifurushi kikiisha uhoni chchote, nataka ninunue King'amuzi cha azam tu kwakweli
Najutaaa

Njoo dstv huku full shangwe
 
Baada ya channels za Azam, ten, clouds na ITV kurudishwa na Azam Tv sasa imebidi kuwapa Star times kwaheri ya kuonana.

Binafsi nimeteseka sana kuwafuatilia kila inapotokea tatizo lakini huduma yao imekuwa hairidhishi. Kumbe hakuna kitu kibaya kama ukiritimba. Niwashukuru sana Azam tv na kwaherini ya kuonana star times

Kweli mmetutesa.
Utamiss waaris
 
Ngoja niamie azam aisee...!! Startimes wapuuzi clouds wameitoa.
 
Baada ya channels za Azam, ten, clouds na ITV kurudishwa na Azam Tv sasa imebidi kuwapa Star times kwaheri ya kuonana.

Binafsi nimeteseka sana kuwafuatilia kila inapotokea tatizo lakini huduma yao imekuwa hairidhishi. Kumbe hakuna kitu kibaya kama ukiritimba. Niwashukuru sana Azam tv na kwaherini ya kuonana star times

Kweli mmetutesa.
Naunga mkono
 
Kila mmoja anunue kunachomfaa kulipia hata 10000 wengine hatuwezi,hizo gharama tuwaachie wenye uwezo.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom