ZANZIBAR umekuwa huru na wananchi wako wametulia , lakini Tanganyika inakaliwa kwa mabavu na viongozi wa CCM, wanateka kila haki ya msingi ya wananchi, wametutungia katiba ya Tanganyika na kutuambia ni ya Muungano wa Tanzania. wameamua kujilipa posho za kutuwakilisha bila ya kutuuliza , wamenunua ndege ya rais bila kutuuliza, wamenunua rada ya kuangalia Ukonga na kutuambia itaangalia UK bila kutuuliza.....
Wazanzibar mtapokwenda msisahau kuturushia kamba....na VISA za taifa lenu mtuwekee masharti nafuu kwani watanganyika tunaoteswa ni ndugu zenu na tumeishi vyema muda mwingi
Wazanzibar mtapokwenda msisahau kuturushia kamba....na VISA za taifa lenu mtuwekee masharti nafuu kwani watanganyika tunaoteswa ni ndugu zenu na tumeishi vyema muda mwingi