Sio vyake alivyoporaKuna watu wanateseka Sana na mtu anayetumbua vyake
Sio vyake alivyoporaKuna watu wanateseka Sana na mtu anayetumbua vyake
Nchi inapoteza watendaji wazuri kama Makonda na Magufuli kwa uzembe wa watu wachache.Wewe ndiye uliyeniambia naleo imedhihirika
S.E wangu unaambiwa siku kuisha Sasa hivi ni kama kutema mate yakakauka adabu muhimu.Ninaikumbuka ile sherehe ya mwaka mmoja wa kuwa mkuu wa Mkoa wa Dar. Maisha yanakwenda kwa kasi sana.
Kama Ni rahisi namna hiyo karibu na wewSio vyake alivyopora
Vita feki ya madawa unadhani walitoa ngapi watajwaKama Ni rahisi namna hiyo karibu na wew
Makonda ni mpumbavu. Aliamua kwenda kugombea ubunge wa kijimbo na kuacha nchiHello JF
Watu wengi walikuwa wakijaribu kufikiria kwamba mama atamkumbuka aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam bwana Paul Makonda kwa kumpa uteuzi wa ukuu wa mkoa wowote ule hapa nchini
Wengi walienda mbali zaidi kwa kupendekeza mpaka Rais Samia Ampangie mkoa upi huku mkoa wa Dar es salaam ukiwa na namba moja kwamba kijana huyo aliupatia sana hivyo arudishiwe
Mambo yamekwenda ndivyo sivyo, Mama ameamua kurudi ccm asilia na hapa wale waliokuwa na kibri kwa sababu ya awamu ya tano hawana nafasi tena
Kwa sasa Paul Makonda haamini anachokiona, Rais amemsahau mazima na utumishi wa umma ataishia kuusoma kwenye gazeti la Uhuru na Tanzanite
Sio lazima iwe hivyo wanasiasa wengi wanamiliki pesa kwa kudhulumu kodi za walala hoi na bado wanadunda tu mitaaniNa pesa ya dhuluma haikai
Huyo ni bilionea mdauHello JF
Watu wengi walikuwa wakijaribu kufikiria kwamba mama atamkumbuka aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam bwana Paul Makonda kwa kumpa uteuzi wa ukuu wa mkoa wowote ule hapa nchini
Wengi walienda mbali zaidi kwa kupendekeza mpaka Rais Samia Ampangie mkoa upi huku mkoa wa Dar es salaam ukiwa na namba moja kwamba kijana huyo aliupatia sana hivyo arudishiwe
Mambo yamekwenda ndivyo sivyo, Mama ameamua kurudi ccm asilia na hapa wale waliokuwa na kibri kwa sababu ya awamu ya tano hawana nafasi tena
Kwa sasa Paul Makonda haamini anachokiona, Rais amemsahau mazima na utumishi wa umma ataishia kuusoma kwenye gazeti la Uhuru na Tanzanite
Uchafuzi alioufanya kitaifa na kimataifa mpaka mbeleko ya chuma ikamuangusha,inatosha sana mama hawezi kujichafua kubeba litoto lililojinyea makusudiWekeni akiba, nafasi za uteuzi bado ....
Mheshimiwa anakula Raha kuliko unavyofikiria. Wewe baki na huo utumoshi mwenzio ana investment mpaka za wajukuu
Mwenzio tozo hazimuhusu. Anafunga hesabu daily, weekly, monthly kupitia wholesale chemist, apartments na hoteliAlaaa kumbe?!
Hivi huoni kama unamchoresha mwenzio iwapo ikifuatiliwa kujua zaidi?
Bro ulipotelea wapiMakonda yupi? huyu anayekula meza moja na mama samia?
Huyu kijana tajiri?
acheni ujinga, aliyefanya kosa la kumpa uongozi makonda ni JK...marehemu akamtumia
Makonda sio wa utumishi wa umma, tafuta taarifa
Mjini pana mengi, watu wanaogelea hela wewe unataka warudi kwenye public?
chuki za bluetooth hizi, wewe binafsi kakukosea nini?
Umeona au bado?Ngoja tuone!
I have been asking the same question!Bro ulipotelea wapi
Exactly!yupo sana tu anaonekana pale horizon ..anakuja anapaki range yake nyeupe pale service road anafanya yake anachomokaMwenzio tozo hazimuhusu. Anafunga hesabu daily, weekly, monthly kupitia wholesale chemist, apartments na hoteli
Na bado yupo utumishi wa umma, wengi hawajui hili. Kapewa kitengoExactly!yupo sana tu anaonekana pale horizon ..anakuja anapaki range yake nyeupe pale service road anafanya yake anachomoka
Anakula tu maisha
Ova