@Mr Devil ,you are no more.Una tafuta likes na sifa za mda mfupi JF
Nawaangalia Halafu Nasema Hii BhaghoshaMwafaaa - JPM.
Mkuu Wangari, the man, i.e. Magufuli alikuwa controversial sana. Sana tu. Mungu nisamehe kama nakosea lakini mimi naona ni kama Mungu ameamua kumwondoa ili watanzania wasiangamie tena. Hebu fikiria watu waliofariki tangu covid iingie na ambao wangeweza kupona kama angetuongoza vizuri. Ni kwa sababu watanzania tuko kama nyumbu na hatujihangaishi kufuatilia mambo lakini wamekufa watu wengi sana, tena vifo vya mateso kwa covid. Fungakazi ni pale walipokufa mapandri na watawa (of course na watu wengine wengi) na uongozi wa kanisa ulipoamua kuingilia kati kuwaeleza ukweli waumini wake, marehemu akawasema sana na kubeza. Hivi unataka kuniambia hakuwa anaona hivyo vifo? Ni kwanini hakujali na hakutaka uongozi wa kanisa ujali? Anafaidika nini kwa watu kufa? Unakumbuka mara ya mwisho kanisani alivyombeza uongozi wa kanisa kwa kusema watu wavae mask? Kutoka hapa ndiyo alianza kuugua na kifo. Mungu hadhihakiwi!
Tunakukumbuka ChumaKatika maisha ya mwanadamu, mambo mawili: mwanzo na mwisho, ni hakika.
Japo ni Mungu pekee ajuaye, kwa upendeleo, sisi tumeuona mwanzo na mwisho wako.
Tumejifunza mengi kupitia maisha na kifo chako – Ee Mungu tujaalie mwisho mzuri.
Kwaheri Mhe. JPM.