Kwaheri 2016 karibu 2017

Ulimbo

JF-Expert Member
Aug 14, 2009
3,767
4,034
happy-new-yer-2017-animated-pictures.gif


IMG_2153.JPG


WanaJF wote nawatakia kheri ya mwaka mpya 2017, uwe mwaka wa kukupa hatua njingine iliyo bora zaidi katika maisha yako.
 
Advance-Happy-New-Year-2017.jpg


Fill up your life with all the cheer and happiness,Let the New Year bring you joy and prosperous news,
And all these be my wishes for you and your families now and forever.
Happy New Year In advance.
 
2016 NENDA BABA TUNASHUKURU KWA YOTE.
1.yametumbuliwa majipu mpaka chunusi nenda baba.
2.umefanya kabeji iwe nyingi kuliko nyama siku ya Christmas nenda baba
3.umefanya tujue kulikuwa faru john na faru hadija yatosha baba
4.ajira imezidi kuota mbawa,baba wasalimie mwambie 2017 akija anisajili kuwa mwanasiasa huenda nikapata dili.
5.tumeshuhudia homa ya zika ikileta kizaa zaa nenda baba
6.tumeshuhudia wimbo mpya wa taifa muziki-darasa,acha maneno nenda 2016
7.tumeshuhudia watu wa dar wakitamani kurudi mikoani wasijue kote namba zinasomeka nenda baba
8.baba kugombania rimoti na watoto ,ataenda wapi pesa hakuna acha atulie kama daktari wa zamu..nenda baba
9.tumeshuhudia ufunguzi wa daraja jipya na watu tunakesha kufanyia shooting na kupiga picha, tuliliona wapi asante baba
10.tetemeko likawatesa ndugu zetu wa kagera na watu wakataka kupiga pesa kupitia mgongo wake ,2017 usifanye kama mwenzako baba
11.mvua za masika nazo zimekuwa adimu sijui nazo zinahakikiwa? nenda baba
12.sijasahau bomberdier zikanunuliwa watu wakaziita panga boy asante baba..
13.simba wakaongoza ligi ,kaa nao baba wamekuwa wagumba muda mrefu
14...........2016 nenda baba.
 
2016 NENDA BABA TUNASHUKURU KWA YOTE.
1.yametumbuliwa majipu mpaka chunusi nenda baba.
2.umefanya kabeji iwe nyingi kuliko nyama siku ya Christmas nenda baba
3.umefanya tujue kulikuwa faru john na faru hadija yatosha baba
4.ajira imezidi kuota mbawa,baba wasalimie mwambie 2017 akija anisajili kuwa mwanasiasa huenda nikapata dili.
5.tumeshuhudia homa ya zika ikileta kizaa zaa nenda baba
6.tumeshuhudia wimbo mpya wa taifa muziki-darasa,acha maneno nenda 2016
7.tumeshuhudia watu wa dar wakitamani kurudi mikoani wasijue kote namba zinasomeka nenda baba
8.baba kugombania rimoti na watoto ,ataenda wapi pesa hakuna acha atulie kama daktari wa zamu..nenda baba
9.tumeshuhudia ufunguzi wa daraja jipya na watu tunakesha kufanyia shooting na kupiga picha, tuliliona wapi asante baba
10.tetemeko likawatesa ndugu zetu wa kagera na watu wakataka kupiga pesa kupitia mgongo wake ,2017 usifanye kama mwenzako baba
11.mvua za masika nazo zimekuwa adimu sijui nazo zinahakikiwa? nenda baba
12.sijasahau bomberdier zikanunuliwa watu wakaziita panga boy asante baba..
13.simba wakaongoza ligi ,kaa nao baba wamekuwa wagumba muda mrefu
14...........2016 nenda baba
 
I just want to take this opportunity to wish you all Jamii forum members and users a happy new year in advance we are remained with only about six ,only six hours to reach new year 2017.

We have witnessed a lot of challenges in this ending year the loss of our member Ben saanane the case between the government and Jamii media they are strong challenges to us this year . we are about to welcome another year in the coming few hours .

What is the direction in the coming year how are we going to tackle our challenges are we prepared or still things will be going through this way?

There are some critical questions we need to ask ourselves when approaching the new year Eve.

When asking yourself all those questions lam wishing you a happy new year 2017.
 
Mwaka mwingine wa maisha yetu sasa umepita. Mwaka mpya u mbele yetu. Je! kumbukumbu yake itakuwaje?

Kila mmoja wetu ataandika nini juu ya kurasa zake nyeupe?
Jinsi tunavyoitumia kila siku itaamua suala hili.

Hebu na tuingie katika mwaka mpya tukiwa na mioyo iliyotakaswa kutokana na uchafu wa uchoyo wetu na kiburi chetu. Hebu na tuweke mbali nasi kila anasa ya dhambi, na kutafuta kuwa waaminifu, na wanafunzi wenye bidii katika shule yake Kristo. Mwaka huu mpya unafungua mbele yetu kurasa mpya, nyeupe. Je! tutaandika nini juu yake?

Tafuteni jinsi ya kuuanza mwaka huu mkiwa na makusudi mema na nia safi, kama viumbe vinavyowajibika kwa Mungu wao. Daima kumbukeni kwamba matendo yenu yanapita kila siku na kuwa historia mbele ya kalamu ya malaika atunzaye kumbukumbu zetu. Mtapaswa kukutana nazo tena hapo hukumu itakapowekwa na vitabu vitakapofunguliwa. TUOMBE ombi hili Katika zaburi *Basi, utujulishe kuzihesabu siku zetu, Tujipatie moyo wa hekima*. Zaburi 90:12

Iwapo tunajiunganisha na Mungu, aliye Chimbuko la amani, na nuru, na kweli, basi, Roho wake atabubujika kupitia kwetu, sisi tukiwa kama mfereji, kuwaburudisha na kuwabariki wote wanaotuzunguka.

Huu unaweza kuwa mwaka wa mwisho wa maisha yetu. Je! tusingeuingia tukiwa tunautafakari kwa makini? Je, unyofu, heshima, na ukarimu, visingekuwa shabaha ya mwenendo wetu kwa watu wote? Hebu na tusizuie kitu cho chote kwake Yeye aliyetoa maisha yake kwa ajili yetu....

*Wapendwa ndugu na dada zangu, Nawatakia kila mmoja wenu na wote, Heri ya Mwaka Mpya!*
 
Asante mkuu , siasa za Tanzania zilipofikia sasa ni vita kamili .

Naomba nikiri wazi kabisa kwamba , siwapendi wanaccm wote ( wa jf au wa lumumba ) na sitathubutu kuwatakia heri yoyote .

Shida kubwa ya nchi hii ni ccm.
 
Heri Ya Mwaka Mpya Kwako Pia Na Kwa Wanajukwaa Wote Wa Jf! Vilevile Heri Kwa Wote Wasio Wanajukwaa La Jf. Tuzidi Kumwomba Mola Atubariki Ili Tufanikiwe Katika Mipango Yetu Mwakani 2017. Happy New Year To All Of Us, May God Bless Us!
 
Wakati tayari kisiwa cha Hong Kong na nchini Australia wamekwishauona mwaka mpya wa 2017, sisi wengine badi tupo masaa machache kufikia mwaka huo unaotarajiwa kuwa wa matukio makubwa zaidi.

Nchini Tanzania raisi John Pombe Magufuli anaingia mwaka wa pili wa utawala wake ambapo bado hali ya uchumi itaendelea kuinuka zaidi.

Nchini Congo raisi Kabila nae amepewa miezi 12 kujiandaa kuachia madaraka na kutayarisha uchaguzi mkuu nchini humo kwa mwaka 2018.

Pia mwaka 2017 tutashuhudia kuapishwa kwa raisi Donald Trump hapo tarehe 20 January.

611128058.jpg

Happy New Year 2017!

Kukiwa kumesalia masaa machache basi kwa wale ambao wote twausubiri mwaka mpya, basi mimi Richard kwa niaba yangu binafsi na familia yangu yote, na wale wote wanaonihusu nawatakia wana JF , familia zenu, na wale wote wanaowahusu, Kheri ya Mwaka Mpya!

Ni wakati wa kusameheana kwa wale ambao kwa namna moja ama ingine tulikwaruzana katika mijadala mbalimbali lakini ambayo haikuwa binafasi na tuwe tayari kwa mijadala Zaidi kwa mwaka ujao wa 2017, ambapo inawezekana mijadala ikawa ni mikali zaidi.

Zifuatazo ni lugha 16 ambazo unaweza kumwambia alie karibu yako, Happy New Year

Chinese Mandarin – Xin Nian Kuai Le – (pronounced sheen nian kwai luh)

Chinese Cantonese – San Nin Fai Lok – (pronounced san knee fy lock)

Czech – Sťastný nový rok

happy-new-year-great-gatsby-toast-fireworks-animated-gif.gif


Danish – Godt nytår

Dutch – Gelukkig nieuwjaar

Finnish – Hyvää uutta vuotta

French – Bonne année

German – Frohes neues Jahr

Italian – Felice anno nuovo

Japanese (pre-midnight) – 良いお年を – Yoi otoshi o

Japanese (after midnight) – 明けましておめでとうございます – Akemashite omedetou gozaimasu

MUNGU AKITUJAALIA TUKUTANE MWAKA MPYA WA 2017!
 
Mkuu Richard

Na wewe nikutakia mwaka mpya wenye heri na baraka bila kuwasahau wanaJamiiforums wote.

Yes, mwaka kesho mijadala ya kisiasa itakuwa mikali zaidi lakini mbegu za maendeleo ya muda mrefu zilizopandwa na serikali ya Rais Magufuli zitaanza kumea.

''Kupanga ni kuchagua''. Tulipanga na tumechagua maendeleo endelevu.
 
Kwa vile sio rahisi kumshukuru mtu mmoja mmoja natoa shukrani kwa wana Jf wote nakuwatakia heri ya mwaka tunaouanza muda mfupi ujao uwe wa amani na mafanikio kwa wote na kama wapo niliowakwaza kwenye mijadala mbalimbali mimi ni binadamu naomba wanisamehe
 
Asante mkuu , siasa za Tanzania zilipofikia sasa ni vita kamili .

Naomba nikiri wazi kabisa kwamba , siwapendi wanaccm wote ( wa jf au wa lumumba ) na sitathubutu kuwatakia heri yoyote .

Shida kubwa ya nchi hii ni ccm.
Kwenye familia ya Baba yangu tukikaa tunabishana sana kwenye masuala ya siasa na sisi tupo wanne vijana ila wote tunatofautiana kuna CCM na vyama mbadala kama CDM ila hatuwezi chukiana ni ujinga na upuuzi.

Hata ikithibitishwa kwamba baadhi ya watu wanapotea kwa ajili ya masuala ya siasa ni suala la kuangalia upya sisi ni ndugu moja na hata tofauti zetu ni kwa maslahi ya Nchi yetu tu na sio vinginevyo.
Happy new year in advance
 
Napenda kuwatakia heri ya mwaka mpya 2017 wana JF wote pamoja na mods.....ni jambo la kheri kumshukuru Mungu kwa kutujalia kuuona.....HAPPY NEW YEAR

Karibuni tutakiane heri ya mwaka mpya unaruhusiwa ku-mention au kumtaja member unaem-wish Happy new year.....Karibuni
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom