Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye familia ya Baba yangu tukikaa tunabishana sana kwenye masuala ya siasa na sisi tupo wanne vijana ila wote tunatofautiana kuna CCM na vyama mbadala kama CDM ila hatuwezi chukiana ni ujinga na upuuzi.Asante mkuu , siasa za Tanzania zilipofikia sasa ni vita kamili .
Naomba nikiri wazi kabisa kwamba , siwapendi wanaccm wote ( wa jf au wa lumumba ) na sitathubutu kuwatakia heri yoyote .
Shida kubwa ya nchi hii ni ccm.