Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,539
- 12,654
Mwaka 2012 nilikuwa Zambia. Shilingi 1 ya Tanzania ilikuwa sawa na Kwacha za Zambia 3.Sasa nipo Zambia Kwacha Moja ni sawa na shilingi 217. Kwa muda wa miaka 4 kumetokea mabadiliko makubwa kabisa dhidi ya Kwacha kuipita pesa yetu. Kuna mtu wa BOT humu atuelezee nini kinaendelea?