Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,404
- 36,543
MSAADA ELIMU KWA YATIMA
Kama kuna mtoto yatima anayeasoma Chuo Kikuu chochote Tanzania na amezidiwa na shida ya ada na gharama nyengine za Masomo kiasi cha kulazimika kuacha Masomo, mwambie atume email to: a2foundation@yahoo.com
Atume majina yake na Chuo anachosoma na Shahada anayosomea haraka iwezekanavyo. Tafadhali usambaze ujumbe huu kokote uwezavyo mpaka watoto wote wenye shida hii iwafikie.
Sharing is caring 🙏🏾
Kama kuna mtoto yatima anayeasoma Chuo Kikuu chochote Tanzania na amezidiwa na shida ya ada na gharama nyengine za Masomo kiasi cha kulazimika kuacha Masomo, mwambie atume email to: a2foundation@yahoo.com
Atume majina yake na Chuo anachosoma na Shahada anayosomea haraka iwezekanavyo. Tafadhali usambaze ujumbe huu kokote uwezavyo mpaka watoto wote wenye shida hii iwafikie.
Sharing is caring 🙏🏾