Kwanza, mafuta bei yake iko chini huko Zanzibar. Pia maisha ya Wazanzibari ni nafuu mno kwasababu hakuna mfumuko wa bei.
Pili, ukitupia jicho kwenye umeme bei iko chini na ni karibu na bure. Mwaka huu rais wa visiwa hivyo alitangaza kuwa nguzo za umeme itakuwa bure
Tatu, mwaka wa mwisho wa awamu 7, mzee Mohammed Shein aliongeza mishahara ya watumishi wa umma kima cha chini kwa 100%.
Nne, hivi leo 8/5/2022, rais wa sasa (awamu ya 8) wa visiwa hivyo Dr. Hussein Mwinyi ametangaza nyongeza ya mishahara kwa watumishi wa umma kwa15%.
Zanzibar kuna neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo, tuombe uraia tukaishi huko. Kuishi Tanganyika ni mateso ya kujitakia.
Pili, ukitupia jicho kwenye umeme bei iko chini na ni karibu na bure. Mwaka huu rais wa visiwa hivyo alitangaza kuwa nguzo za umeme itakuwa bure
Tatu, mwaka wa mwisho wa awamu 7, mzee Mohammed Shein aliongeza mishahara ya watumishi wa umma kima cha chini kwa 100%.
Nne, hivi leo 8/5/2022, rais wa sasa (awamu ya 8) wa visiwa hivyo Dr. Hussein Mwinyi ametangaza nyongeza ya mishahara kwa watumishi wa umma kwa15%.
Zanzibar kuna neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo, tuombe uraia tukaishi huko. Kuishi Tanganyika ni mateso ya kujitakia.