Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,894
- 33,452
Mkuu kama huoni madhara ya Mbowe kuendelea kung'ang'ania hicho kiti?mkuu unaongea upumbavu chadema ni chama cha watu wachache eti kwa kuwa wamekosea kumtaka tena mbowe basi itumike kama mfano kwa raisi kung'ang'ania pia madaraka (akili zako ni pumbavu'
kuongoza chama si akili, utayari na utashi. katika chama chenye watu wenye akili sana chadema kinaongoza anzia ngazi ya vitongoji hadi taifa