Kwa yanayoendelea kwasasa 2025 Hakuna Kumpigia Mbunge yeyote kura wala kwenda kwenye Mikutano Hawana Msaada Wowote wanaangalia Maslai yao tu

Granted Faith

Member
Jul 4, 2021
57
292
Kwa Yanayoendelea Kwa sasa Sioni kama kuna umuhimu wowote kumpigia kura mbunge ambaye hana Msaada wowote kwa wananchi wake zaidi ya kuangalia maslai Yao na matumbo yao.

Wabunge hawana Msaada wowote Kwa Wananchi zaidi ya blabla za hapa na pale zisizo na Tija yeyote kwa wananchi
Wabunge wamekuwa watu wakujali Maslai yao binafsi kuliko wananchi waliompigia Kura na kumpa dhamana ya kuwa hapo halipo
Wabunge Wamefanya Siasa ni Ajira wakati Siasa ni Wito wa kuwatumikia Wananchi waliompa dhamana ya kuwa hapo
 
Unaweza kuwaelewesha wanaosombwa na malori unachomaanisha?

Tozo zinatozwa, vitu vinapanda bei, wanaojiita wanaharakati wanajipatia umaarufu, na yanayopangwa yawe na akina Zakayo yanakua.

Nasikia pia mama kawakataza watoto wake wote kuangalia picha kubwa....ngoja kwanza, ni maandalizi ya SHARIA nini kwa TZ?

Hongereni kwa uzalendo na maendeleo yajayo.
 
Unaweza kuwaelewesha wanaosombwa na malori unachomaanisha?

Tozo zinatozwa, vitu vinapanda bei, wanaojiita wanaharakati wanajipatia umaarufu, na yanayopangwa yawe na akina Zakayo yanakua.

Nasikia pia mama kawakataza watoto wake wote kuangalia picha kubwa....ngoja kwanza, ni maandalizi ya SHARIA nini kwa TZ?

Hongereni kwa uzalendo na maendeleo yajayo.
Nchi hii imeuzwa bei rahisi kabisa
 
Kwa Yanayoendelea Kwa sasa Sioni kama kuna umuhimu wowote kumpigia kura mbunge ambaye hana Msaada wowote kwa wananchi wake zaidi ya kuangalia maslai Yao na matumbo yao
Wabunge hawana Msaada wowote Kwa Wananchi zaidi ya blabla za hapa na pale zisizo na Tija yeyote kwa wananchi
Wabunge wamekuwa watu wakujali Maslai yao binafsi kuliko wananchi waliompigia Kura na kumpa dhamana ya kuwa hapo halipo
Wabunge Wamefanya Siasa ni Ajira wakati Siasa ni Wito wa kuwatumikia Wananchi waliompa dhamana ya kuwa hapo
ndo hasara ya kutokuwa na wapinzani bungeni. Yani kumbe wabunge wa ccm hawanaga uwakilishi wala msaada wowote kwa wananchi
 
Zungu alisema wanajitoa muhanga, nyie pigeni kura kwa wengine lakini CCM ndio itaenda kuunda Bunge🤣
 
Nimeacha huu upuuzi wa kuwatafutia watu ajira toka mwak 2015 ctokahnirudie labdamwangu na ndugu yangu agombee na kuonesha dalili za kukublika nitampigia otherwise ctotafutia watu ajira mm never
 
Kwa Yanayoendelea Kwa sasa Sioni kama kuna umuhimu wowote kumpigia kura mbunge ambaye hana Msaada wowote kwa wananchi wake zaidi ya kuangalia maslai Yao na matumbo yao
Wabunge hawana Msaada wowote Kwa Wananchi zaidi ya blabla za hapa na pale zisizo na Tija yeyote kwa wananchi
Wabunge wamekuwa watu wakujali Maslai yao binafsi kuliko wananchi waliompigia Kura na kumpa dhamana ya kuwa hapo halipo
Wabunge Wamefanya Siasa ni Ajira wakati Siasa ni Wito wa kuwatumikia Wananchi waliompa dhamana ya kuwa hapo
Wengine tulishaacha kitambo.
 
Kwa Yanayoendelea Kwa sasa Sioni kama kuna umuhimu wowote kumpigia kura mbunge ambaye hana Msaada wowote kwa wananchi wake zaidi ya kuangalia maslai Yao na matumbo yao
Wabunge hawana Msaada wowote Kwa Wananchi zaidi ya blabla za hapa na pale zisizo na Tija yeyote kwa wananchi
Wabunge wamekuwa watu wakujali Maslai yao binafsi kuliko wananchi waliompigia Kura na kumpa dhamana ya kuwa hapo halipo
Wabunge Wamefanya Siasa ni Ajira wakati Siasa ni Wito wa kuwatumikia Wananchi waliompa dhamana ya kuwa hapo
Hutawapigia wabunge tu? Ila wengine utawapigia?
 
Haya mambo watu wanachukulia poa sana. Tatizo mtaji wa CCM ni watu wa vijijini sana sana wasiosoma.

Mi nadhani ifike kipindi kupiga kura ya kuwachagua viongozi isiwe haki ya msingi kwa kila mtu, eti kisa tu kafikisha miaka 18 na ana kadi ya kupigia.

Lazima tuwe na makundi. Mfano:

Rais akachaguliwa na watu wenye degree moja kwenda mbele.

Wabunge wakachaguliwa na watu wenye certificate kwenda mbele.

Hao madiwani ndio wachaguliwe na mtu yoyote mwenye miaka 18 and above lakini awe na kazi maalum.

Sijui naandika nn lakini inaudhi sana hii kitu, watu wamepita bila kupigwa ila wanaowatetea sijui ni maslahi ya wakina nani?
 
Ndio maana katiba mpya inahitajika. hawa atu hawachaguliwi kwa kura na wanalijua hilo. Ndio maana hawataki kusikia katiba mpya. Wanajua haki bin haki hawawezi kushinda uchaguzi.
Sisi huwa hawashindi kwa kutegemea kura
 
Bora hata bunge tungekuwa nalo, hata bunge hatuna ila tuna wavaa nguo za kijan na ni kama wapo kwenye vikao vyao vya chama. Hata wao kuna wakati hawajui nin wanafanya bungen sema wanashangaa kuona wanapata posho kubwa.

Kifupi sina iman na bunge wala mbunge yeyote. # njaa mbaya sana
 
Back
Top Bottom