Colvladimir
New Member
- May 8, 2020
- 1
- 3
Wakuu wa Vyuo mmesikia soon wanafunzi wanarejea. Mmejipangaje kuweka protection measures ikiwamo social distancing madarasani kujaa sana,vimbweta kila madarasa kuweka Maji na sabuni etc.
Inabidi muanze kuweka mazingira sawa maana hawa vijana wanatoka mtaani now kuja huko.
Inabidi muanze kuweka mazingira sawa maana hawa vijana wanatoka mtaani now kuja huko.