luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,258
Hata huku Zanzibar wapo wabara ambao wamezaliwa bara wakaja Zanzibar wamepata ajira serikalini tena wengine wazanzibar wananyimwa ajira wanapewa wabara mpaka wengine wana nyadhifa serikalini mfano mzuri kuna yule jamaa mbunge wa maeneo ya kiboje kazaliwa bara lakini kachaguliwa ubunge tena kwa kura ...mnapotoa post kama hizi zinazogusa siasa na muungano mtegemee kashfa na matusi tu
Kama ambavyo wazamzibar wapo bara na wa bara ni halali kabisa wawe zenji
ukitaka kula lazma uliwe