mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,036
Kuna baadhi ya kozi pale mzumbe husoma kwa kupokezana. Yaani wengine wakiwa chuoni, wengine wanakuwa likizo, kisha waliokuwa chuoni wakienda likizo, ndipo waliokuwa likizo wanarudi chuoni. Je kwa wanaosoma shahada ya sheria Nao husoma hivyo hivyo kwa kupokezana? Je kuna usumbufu wowote kwa mtindo huo?