sasa unataka watu wapasue ungo kwa kuvigombania kwa maelezo yako hapo juu.Vinapatikana sana wilaya ya Newala na Tandahimba mkoani Mtwara, hiyo ni aina ya dawa za mitishamba zina tibu magonjwa mengi sana ikiwemo presha, sukari, hata yale mataizo ambayo yamekuwa janga kwa kina baba!
Huko kagera ni vingi piaMkuu hivi vitu sio huko tu hata mbeya vipo nilivyo ona nimekumbuka gafla kurudi nyumbani
Sawa MkuuHuko kagera ni vingi pia
Huko kagera ni vingi pia
Yes, na hizo zinaitwa karanga za kizunguNdo forest Yams (Amasoma) ?
NdiyoNdo forest Yams (Amasoma) ?
Bwana gani tena
Vikubwa kama viazi vinaitwa mato ni dawa kwa wale wenye pb na kisukar
Na hvyo vingine vinaitwa kweme ni tamu sana kama korosho ukitafuna View attachment 793767