She Quoted you
JF-Expert Member
- Oct 19, 2020
- 687
- 1,163
Wasalaam,
Kuna maeneo nataka kujua kwa wenyeji wa Dar
1.Shoppers plaza iko wapi na napanda gari za wapi nikiwa natokea Kimara
2.Sinza Mugabe pia napanda za wapi na nashukia kituo kipi?
Kuna maeneo nataka kujua kwa wenyeji wa Dar
1.Shoppers plaza iko wapi na napanda gari za wapi nikiwa natokea Kimara
2.Sinza Mugabe pia napanda za wapi na nashukia kituo kipi?