permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 9,994
- 11,173
Vipara na mvi mtu ukiwa late 20's na early 30's ni tatizo serious!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipara kije wakati nna hela...nna gari...na wajukuu nna maisha mazuri.....mimi nna 22 kimeanza kunisakama
@MO11 au?Natamani niwape kaka zangu espeshale yule mdogo, mtu yupo early 30s tayari kipara kimeshaota khaa
Nakubaliana nawe mkuu mie hata miaka 20 sijafika nina kipara changu cha kurithi na hakijawahi kunipa stress kabisa haya masuala ya madawa ya kuleta nywele lazima yawe na side effect tukipara ni nature ,kama asili yenu kwenu kuna vipara utakomaza utosi tu kwa madawa ,kwani kipara kina tatizo gani mpaka kupambana nacho.
sory kama nimekuharibia biashara yako mkuu
Kipara ni kama kitambi.. Kuna wanaovipenda na kunawanao vichukia.. That is itNakubaliana nawe mkuu mie hata miaka 20 sijafika nina kipara changu cha kurithi na hakijawahi kunipa stress kabisa haya masuala ya madawa ya kuleta nywele lazima yawe na side effect tu
Haha nina kaka wengi we unamjua huyo tu@MO11 au?
Hivyo eeh, kumbe hata kaka yangu hakiwezi kuponaHcho sidhan.. Jaribu uje ulete mrejesho..
Ok labda unisaidie mkuu kwanini watu tunapata vipara??na tukiwa na umri mdgoKipara ni kama kitambi.. Kuna wanaovipenda na kunawanao vichukia.. That is it