MeruA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 1,391
- 2,125
Habarini za leo ndugu zangu,
Sitaki kupoteza muda naenda moja kwa moja kwenye lengo,
Humu ndani kuna watu wenye shughuli mbalimbali wapo waliofanikiwa kupitia biashara,kilimo ajira n.k
Napenda kupata msaada wa mawazo kwa wale ambayo wamefanikiwa biashara zao kupitia kwa waganga wa jadi,japo tuna imani tofauti tofauti lkn hatuwezi kukataa uwepo wa jadi ambayo ni asili yetu.Waliofanikisha mambo yao kupitia waganga wa kienyeji watupe udhoefu na kwa namna gani walifanikisha mambo yao,maana sote tu watafutaji na katika utafutaji kuna njia mbalimbali za kupita ili kufikia malengo.Karibuni
Sitaki kupoteza muda naenda moja kwa moja kwenye lengo,
Humu ndani kuna watu wenye shughuli mbalimbali wapo waliofanikiwa kupitia biashara,kilimo ajira n.k
Napenda kupata msaada wa mawazo kwa wale ambayo wamefanikiwa biashara zao kupitia kwa waganga wa jadi,japo tuna imani tofauti tofauti lkn hatuwezi kukataa uwepo wa jadi ambayo ni asili yetu.Waliofanikisha mambo yao kupitia waganga wa kienyeji watupe udhoefu na kwa namna gani walifanikisha mambo yao,maana sote tu watafutaji na katika utafutaji kuna njia mbalimbali za kupita ili kufikia malengo.Karibuni