pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
- Thread starter
- #21
Asante sana ndugu mungu akuzidishie umekuwa msaada kwangu ushauri wako umenipa mwanga sana may our living God be with u alwayz thanx nakuomba uniombe nifanikiwe
Criteria: Elezea kuhusu strength yako, una kitu/tabia/uzoefu gani wa zaida ambao unaweza kuwa na msaada kwa taasisi unayoomba kazi ? Ethics in civil service/maadili katika utumishi wa Umma......Kutoa huduma bora, Utii kwa Serikali, Bidii ya kazi, Huduma bila upendeleo, Bidii ya kazi, kuwajibika kwa Umma, kuheshimu sheria, matumizi sahihi ya taarifa. Kumbuka kama interview itakuwa katika lugha ya Malkia itakubidi uyaelewe katika lugha hiyo. Nakutakia interview njema. Siku hiyo vaa kama mtumishi wa Umma anayejiheshimu kulingana na jinsia yako. Avoid overdressing.