muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,510
- 3,477
Wakuu, naombeni mwenye uzoefu na hicho kigari.
Nimeangalia beforward nikaona kwa mazingira ya sasa ambayo nahitaji kufanya heavy investments, nahitaji kuwa na gari ndogo yenye gharama ndogo za uendeshaji hivyo chaguo langu limeangukia kwenye gari hii tatizo sina uzoefu nayo kuhusu uimara wake (given utunzanji upo constant).
Kwa sasa nina Toyota Harrier 3.0 L (old model) mwaka wa 5 huu hivyo nahitaji kubadilisha kabla haijaanza kuniletea matatizo, na pia nahitaji tu gharama zangu ziwe chini ili savings zangu ziwe kubwa nifanikishe lengo tajwa hapo juu.
Baada ya kufanikisha investments zangu ndiyo nitarudi kwenye SUV nizipendazo ambazo ni kati ya BMW X5/ Benz M Class au GL Class au Volvo XC 90 (that is five years to come mwenyezi Mungu akibariki).
Wenye uzoefu na Belta naombeni ushauri wenu. Japo kwa kweli moyo unaniuma kuacha comfortability ya Harrier.
Toyota Belta
Nimeangalia beforward nikaona kwa mazingira ya sasa ambayo nahitaji kufanya heavy investments, nahitaji kuwa na gari ndogo yenye gharama ndogo za uendeshaji hivyo chaguo langu limeangukia kwenye gari hii tatizo sina uzoefu nayo kuhusu uimara wake (given utunzanji upo constant).
Kwa sasa nina Toyota Harrier 3.0 L (old model) mwaka wa 5 huu hivyo nahitaji kubadilisha kabla haijaanza kuniletea matatizo, na pia nahitaji tu gharama zangu ziwe chini ili savings zangu ziwe kubwa nifanikishe lengo tajwa hapo juu.
Baada ya kufanikisha investments zangu ndiyo nitarudi kwenye SUV nizipendazo ambazo ni kati ya BMW X5/ Benz M Class au GL Class au Volvo XC 90 (that is five years to come mwenyezi Mungu akibariki).
Wenye uzoefu na Belta naombeni ushauri wenu. Japo kwa kweli moyo unaniuma kuacha comfortability ya Harrier.
Toyota Belta