Naleta kwenu wana JamiiForums
Kwa wale wenye uzoefu wa kuagiza bidhaa mbalimbali kutoka Dubai kuja Tanzania tupeane experience japo kidogo
EXPERIENCE HUSANI KATIKA;
• Masoko: ni masoko yapi maarufu kwa kuuza nguo,mikoba, electronics devices,simu used nk
• Platform: ni online platform gani zinatumika dubai kuuza bidhaa kama ilivo kwa amazon, eBay,Alibaba, AliExpress,na zingine nyingi.
• Changamoto: Ni changamoto gani /Zipi ambazo wafanya biashara wanapitia katika kuagiza mizigo yao kutoka Dubai kuja Tanzania?
Kwa wale wenye uzoefu wa kuagiza bidhaa mbalimbali kutoka Dubai kuja Tanzania tupeane experience japo kidogo
EXPERIENCE HUSANI KATIKA;
• Masoko: ni masoko yapi maarufu kwa kuuza nguo,mikoba, electronics devices,simu used nk
• Platform: ni online platform gani zinatumika dubai kuuza bidhaa kama ilivo kwa amazon, eBay,Alibaba, AliExpress,na zingine nyingi.
• Changamoto: Ni changamoto gani /Zipi ambazo wafanya biashara wanapitia katika kuagiza mizigo yao kutoka Dubai kuja Tanzania?