Kwa wenye ujuzi wa satelite dishi...

deecharity

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
931
503
Natumia dishi kupata hizi local channels za hapa tanzania ila tatzo kila ikifika sambili usike picha znaanza kuganda au kukata kabisa nimehangaika ila cjapata mafanikio, tatzo laweza kuwa nini? Lakn mchana znashka vzur tu.
 
Natumia dishi kupata hizi local channels za hapa tanzania ila tatzo kila ikifika sambili usike picha znaanza kuganda au kukata kabisa nimehangaika ila cjapata mafanikio, tatzo laweza kuwa nini? Lakn mchana znashka vzur tu.
mawimbi mkuu.. Tafta fundi akurekebishie.. {hapa namaanisha, a trust worthy fundi}, ukiingia mwenyewe utaharibu. Mfano mimi kila ilipokuwa ikifika saa 4 asubuhi, channel zote zinasepa. Zinabakia za intel ngapi sijui {upande wa aljazeera,bbc, cnn, n.k}then saa 4 na nusu zinarejea. Nikatafta fundi, nikamtoa cha 5. Karekebisha,mpaka wa leo.. {kama una dish futi 6, weka ndani, chukua ft 8, alitosombua kamwe, hasa hasa la nyavu}
 
mawimbi mkuu.. Tafta fundi akurekebishie.. {hapa namaanisha, a trust worthy fundi}, ukiingia mwenyewe utaharibu. Mfano mimi kila ilipokuwa ikifika saa 4 asubuhi, channel zote zinasepa. Zinabakia za intel ngapi sijui {upande wa aljazeera,bbc, cnn, n.k}then saa 4 na nusu zinarejea. Nikatafta fundi, nikamtoa cha 5. Karekebisha,mpaka wa leo.. {kama una dish futi 6, weka ndani, chukua ft 8, alitosombua kamwe, hasa hasa la nyavu}

Sasa MR. Dish la nyavu kwa wastani ni shilingi ngapi?
 
Back
Top Bottom